Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
Screenshot_2022-03-09-16-09-38-94_99c04817c0de5652397fc8b56c3b3817.jpg
 
Afadhali, haiwezekani hawa Matraffic wanidai na Leseni ya udereva Kwa kuendesha mkokoteni wa Ng'ombe wangu

Omba ruhusa Kwa Baba Mchungaji ili Jioni twende City Pub tukachome Mbuzi.
Ngoja nimbembeleze twende bonde la Usangu; kule tutakula mbuzi "kienyeji". Amazing sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli unajua kusifia, Ungekuwa Mwanaume Mabinti zetu wangeshindwa kuchomoa mistari yako

Ila the lady is so hot , isingekuwa Uzee huu ningefunga safari kwenda kumsifia live

Si ajabu kangekuwa domo zege

Ila ukweli usemwe. Boss Lady ni kati ya wale wanawake wachache ambao hata akivaa gunia otomatikale anatokelezea tu. Na hapo eti ni mama wawili! .
 
Mkuu hayo pembeni ni maji??
Kama ni maji nimejaribu tu kujenga picha jinsi gani siwezi kucheza karibu na maji namna hiyo.
Ndiyo mkuu ni maji. Ni ka-neighborhood kapya kalikozungukwa na maji...

Kwa nini unayaogopa hivyo? Ulishawahi kuzama au ni hofu ya kawaida tu ya maji (aquaphobia)?

Fanya kila juhudi ujifunze kuogelea kama hujui. Ni skill ya muhimu sana ambayo hujui ni wakati gani utaihitaji. Siyo kamanda Pep amekuchukua kwenda kula bata kwenye hoteli ya nyota 10 halafu unashindwa hata kuogelea kwenye swimming pool
 
Ndiyo mkuu ni maji. Ni ka-neighborhood kapya kalikozungukwa na maji...

Kwa nini unayaogopa hivyo? Ulishawahi kuzama au ni hofu ya kawaida tu ya maji (aquaphobia)?

Fanya kila juhudi ujifunze kuogelea kama hujui. Ni skill ya muhimu sana ambayo hujui ni wakati gani utaihitaji. Siyo kamanda Pep amekuchukua kwenda kula bata kwenye hoteli ya nyota 10 halafu unashindwa hata kuogelea kwenye swimming pool
Mazingira ni mazuri mkuu.

Sijawahi zama ndani ya maji
Siwezi kabisa kujaribu maishani.


Kamanda ataogelea mwenyewe,kwanza hizo hotel za nyota kumi na mimi wapi na wapi??
Si ndio kuanza kuaibishana bila sababu za msingi.
 
Mazingira ni mazuri mkuu.

Sijawahi zama ndani ya maji
Siwezi kabisa kujaribu maishani.


Kamanda ataogelea mwenyewe,kwanza hizo hotel za nyota kumi na mimi wapi na wapi??
Si ndio kuanza kuaibishana bila sababu za msingi.
Mazingira wamejitahidi kwa kweli...hasa kwa sisi wazee kwa sababu kuna kila kitu na ni patulivu sana sema tu kuna jirani yangu hapa kanunua Range Rover jipyaaa. Ananikera mpaka basi

Ila I am serious. Jifunze kuogelea kama hujui.


20220309_091030.jpg
 
Mazingira wamejitahidi kwa kweli...hasa kwa sisi wazee kwa sababu kuna kila kitu na ni patulivu sana sema tu kuna jirani yangu hapa kanunua Range Rover jipyaaa. Ananikera mpaka basi

Ila I am serious. Jifunze kuogelea kama hujui.


View attachment 2144604
Ni mkoa Gani huo mkuu???

Siwezi kujifunza kuogelea na Wala sina mpango.
 
Back
Top Bottom