Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Ni huku Misungwi Mwanza ndani ndani hukuNi mkoa Gani huo mkuu???
Siwezi kujifunza kuogelea na Wala sina mpango.

Misimamo yako naielewa mkuu. Na iheshimiwe!
Ni huku Misungwi Mwanza ndani ndani hukuNi mkoa Gani huo mkuu???
Siwezi kujifunza kuogelea na Wala sina mpango.

Ngombe ni multipurpose mkuu , kwetu ni usafiri na ni nyama pia😂View attachment 2144329
Naona traffic Police wamenisimamisha hapa, wanasema tairi za tela langu zimeisha 😀😂
Karma , Heaven Sent , financial services , Saint Anne , Bujibuji Simba Nyanaume fanyeni mpango mnunue Pickups za kubebea mazao yenu shambani lakini sio Ng'ombe.
Kwetu kule Ng'ombe ni kwaajili ya kula nyama, maziwa na kuolea tu sio kubebea mizigo 🙌🏃🏃🏃🏃🏃
Misungwi sehemu gani kiongozi???Ni huku Misungwi Mwanza ndani ndani huku
Misimamo yako naielewa mkuu. Na iheshimiwe!
Kumbe na wewe ni "madam"Sawa head teacher. Na Mimi ndiyo namalizia kusahihisha madaftari hapa![]()


Madam kwa mdogo ako tu😂😂Kumbe na wewe ni "madam"![]()
Sehemu moja inaitwa Nyamigongwa. Ukiwa unatoka Misungwi mjini barabara kuu upande wa kulia kuna kipori pori hivi ndo jamaa mmoja ameamua kuwekeza huko.Misungwi sehemu gani kiongozi???
Asante sana mkuu wanguSehemu moja inaitwa Nyamigongwa. Ukiwa unatoka Misungwi mjini barabara kuu upande wa kulia kuna kipori pori hivi ndo jamaa mmoja ameamua kuwekeza huko.
Nalima dengu na nyanya huko na ukiulizia kwa Mzee Shimba Mathias mkulima wa dengu utanipata bila wasiwasi. Karibu sana kiongozi!
Mungu Atulinde kiongoziAsante sana mkuu wangu
Kumbe ni Mwanza hapo tu!
nitakaribia mkuu wangu.
Ubarikiwe boss.

Wacha weeee!!!loohhhHuu mguu unalambwa na asali, hata kule kwingine huangaiki napo![]()
Pamoja sana kiongoziMungu Atulinde kiongozi![]()
Beautiful Lizzy
Nangoja ugeukee...😍
Beautiful Anne...Beautiful Lizzy
Siselfiki bila vocha mjepBeautiful Anne...
Nasubiri selfie yako hapa mama mchungaji
Inatakiwa uselfike alaf vocha inakuja mama Pep Guardiola😜Siselfiki bila vocha mjep