Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Kweli kabisa , wana maarifa juu ya mwanamke ...Wanajua pa kutubania na kutuiba
Walifaulu somo la romanticism
Wanawake wengi tunapenda vitu vidogo kama attention , care hvyo ni rahisi kutuwin .
Kweli kabisa , wana maarifa juu ya mwanamke ...Wanajua pa kutubania na kutuiba
Walifaulu somo la romanticism
Ooh nilisahau kumbe wewe under 18Sijakuwa bado 🚶🏻♀️🚶🏻♀️
EllyBhagosha
😂😂😂wiii si nikajua nimemuandikia pm, kumbe nimechafua hali ya hewaUnatoboa ozone layer 🙉
Hem fanya maarifa kwa Tinsley hapo, asipojua 69 hatakuwa na anachofaidi69 Tekashiiiii




Usiniambie rafikiHem fanya maarifa kwa Tinsley hapo, asipojua 69 hatakuwa na anachofaidi![]()


Nitakuja tuuuuu. Ngoja nimalize kuosha masufuria![]()





njoo utoe risala mama malezi.Nikumbushepoleeeeh kwa kuguswa.
Vipi nikukumbushe au ndo nikaushe tyuuh.
wanaume waliooa utawaweza bas, wenyewe kutwa kutaka kubadilisha ladha, utasikia "sio kila siku maharage", sasa hiyo nyama unayotaka hela unayo ya kununua? Kiruuuuuuh


Akutane na mtu anaifinyia kwa ndani, hyo soksi itakumbukwa saa ngap kuvaliwa

Asante sana, utaniona nimevaa moka pamoja na begi langu la Shangazi kaja, manake ndiyo natoka Bara na treni ya Jioni 🙊🚶🚶Karibu sana mkuu, utakuta nakusubiri![]()
muambie baadae atafunzwa mubasharaa,.
Afu mbna kuifinyia ni old version, now kuna new hiyo ni kibokooo
Jamaa asipokoroma km tractor la mkopo lilokwama jarubani la mpunga, mje mnidai chenji. Uwiiiiiih

dahHebu nipe maujanja nikamteke JP wangumuambie baadae atafunzwa mubasharaa,.
Afu mbna kuifinyia ni old version, now kuna new hiyo ni kibokooo
Jamaa asipokoroma km tractor la mkopo lilokwama jarubani la mpunga, mje mnidai chenji. Uwiiiiiih
