cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,941
Poleeeeeh sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani nibora akae apige magoti asali kuliko hata kukubusu
Poleeeeeh sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani nibora akae apige magoti asali kuliko hata kukubusu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tafuta msaidizi nawee lolInatia hasira yaani basi, ujana wangu ulienda bure Aisee
Abeee dadaAkutane na mtu anaifinyia kwa ndani, hyo soksi itakumbukwa saa ngap kuvaliwa
Ukipewa majibu unikumbuke nami mkuuHivi kuifinyie kwa ndani ni kufanyaje yaani unaifinya au[emoji30]chat zenu zimenivutia nahitaji kujifunza zaidi[emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au amekuchoka? [emoji1787]
Itakuwa nyie hamshtuani kwa maajabu ya hapa na pale.
Hahahahahhahahahahahahhaah umejuaje???Kama unanicheka vile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wana experience na haya mambo uwiiiiih.Kuna wenzenu wanadanganya hasa wale wasio na utaratibu wa pete pete hizi.
Atakuja, utapetiwa
Utaingia mzima na viatu vyako, ukija kushtuka ni mume wa mtu [emoji1787] umekolea huwezi kutoka ghafla.
Na kuna wengine wanaokuwa wawazi tokea mwanzo..
😀😀😀Nataka kujua wanaifinyaje au basi ngoja ni Google 😅Ukipewa majibu unikumbuke nami mkuu
Mnavaa soksi na hamuishi kukaa 69, vijana wa kisasa mna mambo sana. Hizo soksi hata hazisaidii.Abeee dada
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwni dada soksi si inavaliwa katika mchakato wa maandalizi?
Nisaidie basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tafuta msaidizi nawee lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh kwa kuguswa.Mtoto mdogo mambo kibao[emoji28]
Mambo ni magumu rafiki ..Mungu atusaidie kwa kweli ,kuchungulia kupo tu hakuepukiki .Kwamba muolewe na wenye utu ndio kuchungulia pembeni haitawezekana! Tunajitahidi lakini tunashindwa...hata Daudi na wenzake huko walishindwa.
Mkuu jana hukutupia selfie, ahadi ni deni.
Mie ni mkristo, RCWewe sio mkristo e
Uwiiiiiih magimbi hayo [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Haya coca njoo View attachment 2162615
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cna neno ktk hili.najifunza hapa
Njoo uyaleUwiiiiiih magimbi hayo [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Pole ,it must be frustrating ..Yaani nibora akae apige magoti asali kuliko hata kukubusu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Abeee dada
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwni dada soksi si inavaliwa katika mchakato wa maandalizi?