Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Kitu kilikuwa cha mkeka hichooKheeeh ulioa chini ya 20? Wee mbna ni noomaaah
Kitu kilikuwa cha mkeka hichooKheeeh ulioa chini ya 20? Wee mbna ni noomaaah
Ka mke ka chugaSio ngumu
Ni tunazo chache![]()
Kabinti ukimaanisha mdada wa kazi au?

mapema soma hiyoooMe nashauri afate hiyo 1st option, aboreshe ndoa + amhudumie mkewe vema mbona atashine tu kila saa atakua na hamu nae.
Andika vigezo nione nakusaidiaje. Ni lazima awe mchuga?Ka mke ka chuga![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 njoo umshushie Majan essay la history 2
Ooh
Hatari sana, kweli wanaume wa kuanzia 34+ ndio wamechemka kwa u polygamy..
Na wale wa 36-42 ndio shindikanaa kwenye u polygamy
Kwa case yako kuna mawili, moja re build hiyo ndoa, ifufueni. Ifanyieni masham sham ya kila dizaini irudi kuwa mpya.
Pili njoo huku nje kina Coca wakufanye hamna![]()


Upo bint ABIUD unatubania michongoAbeeeee
Nipo nawasoma wadogo zangu......
🤣🤣 tunawajua aisee, haina budi kwenda na nyie sawa tu.Umetusemea vizuri sana!![]()
Sifa ya kwanza asiwe mlokoleAndika vigezo nione nakusaidiaje. Ni lazima awe mchuga?
Kwa tafiti zisizo rasmi inasemekana haya makanisa ya kilokole sjui manabii yanachangia kwa kias flani migogoro ndani ya nyumba as mke anakua busy na kanisa na anamheshimu+ kumtii nabii/mchungaji zaidi kuliko mumewe nyumbaniUmeonae, yaani sijui huko makanisani wanafundishwa nini
Endelea kutiririka 🤣Sifa ya kwanza asiwe mlokole
We kaka hebu kuwa serious bas, usitafute binti wa watu ili akulele kiumbe chako, huyo uliyezaa nae yuko wapi? Km nyie mliozaa na mnajua uchungu wa huyo mtoto mnashindwa, ila huyo asiyehusika ndo ataweza?Aisee hela zenu wanawake ngumu Sana Kama zimeshikana na roho..by the way nitafutie kabinti kakulea mwanangu joy
Mambo ni magumu wallah 🤒Kwa tafiti zisizo rasmi inasemekana haya makanisa ya kilokole sjui manabii yanachangia kwa kias flani migogoro ndani ya nyumba as mke anakua busy na kanisa na anamheshimu+ kumtii nabii/mchungaji zaidi kuliko mumewe nyumbani
BalaaMambo ni magumu wallah 🤒