Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Asante sana, utaniona nimevaa moka pamoja na begi langu la Shangazi kaja, manake ndiyo natoka Bara na treni ya Jioni![]()

useme nikuandalie nini kabisaAsante sana, utaniona nimevaa moka pamoja na begi langu la Shangazi kaja, manake ndiyo natoka Bara na treni ya Jioni![]()

useme nikuandalie nini kabisaNitaomba ugali wa Dona na Samaki, pembeni kuwe na glass ya Maziwa Mtindi😋😋useme nikuandalie nini kabisa
Ndo nshakukumbusha hivyo sasa.Nikumbushe
kwamba vitumbua havipo ama,kisa cha kuuziana mikate hela za kodi ya nyumba nini?
Wee yule hana mambo mengi, kikubwa akojoe tyuuh.Hebu nipe maujanja nikamteke JP wangu![]()



Wale mliokuwa mnafuatilia mpira tangu enzi za 'super brazil' hadi sasa eti ya kweli hayaView attachment 2162708






Asante umenisaidia kumjibuUjue kuna ile ku play unafasi wa gf na bf hapa vizinga ni controllable. Na tunajilisha vizuri
Ila nikijua am mchepuko for 100% wallah hata vocha nashindwa jinunulia.
![]()









Natafuta kazi ya uhousigelo ila sharti nyumba iwe na mama JoyAisee hela zenu wanawake ngumu Sana Kama zimeshikana na roho..by the way nitafutie kabinti kakulea mwanangu joy
Asante umenisaidia kumjibu
Yaani mtu akuweke mchepuko,halafu mtumie Hela zako!utakuwa wendawazimu huu..
Ukiwa mchepuko siyo Hela ya vocha tu!; inatakiwa hata sauti tu unayoongea neno Moja ilipiwe![]()





sasa binti wa Abiud kasema, mie nani nipinge na nisitekeleze.?Tena hawa wanaume wanaoendekeza michepuko ni wa kukamuliwa kila kitu,hadi akili ziwarudi wakatulie kwenye ndoa zao maana wanajitoa ufahamu.sasa binti wa Abiud kasema, mie nani nipinge na nisitekeleze.?
Eti this is shitWale mliokuwa mnafuatilia mpira tangu enzi za 'super brazil' hadi sasa eti ya kweli hayaView attachment 2162708


TawileeeeTena hawa wanaume wanaoendekeza michepuko ni wa kukamuliwa kila kitu,hadi akili ziwarudi wakatulie kwenye ndoa zao maana wanajitoa ufahamu.
Tena hawa wanaume wanaoendekeza michepuko ni wa kukamuliwa kila kitu,hadi akili ziwarudi wakatulie kwenye ndoa zao maana wanajitoa ufahamu.




eeeeh ndyooooh dada ake. 








sasa emoj za mawe za nn? Unataka utupopoe?