Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole sana mkuu, ila jitahidi kuvumilia hiyo hali itakuja tu kuisha na utamuenjoy mkeo as long as hachepuki hilo ndio la muhimu.

Usichoke kumvumilia na kumpenda, huyo ndio atakufaa kwa nyakati zote, huku nje majanga tu utapendwa ukiwa na hela basi
Asante mno mno, umenipa moyo sana, hilo litawezekana kwani hakuna kisicho wezekana chini ya jua.
Ila uanaume wangu nao unasumbua!
 
Asante mno mno, umenipa moyo sana, hilo litawezekana kwani hakuna kisicho wezekana chini ya jua.
Ila uanaume wangu nao unasumbua!
Litawezekana kabisa, it's just a matter of time.

Hapo kwenye uanaume ukishindwa sana ukajikuta unachepuka basi chepuka kistaarabu mwenzio asijue usije haribu ndoa yako uliyoijenga kwa miaka yote hiyo sababu ya watu wa kupita.
 
We kaka hebu kuwa serious bas, usitafute binti wa watu ili akulele kiumbe chako, huyo uliyezaa nae yuko wapi? Km nyie mliozaa na mnajua uchungu wa huyo mtoto mnashindwa, ila huyo asiyehusika ndo ataweza?

Labda awe ni mlezi tyuuh wa huyo mtoto wako, na umpe malipo yake km iendanavyo na hiyo kazi, ila usiwekee km mke ili tu uwin lengo lako la mwanao kulelewa n hapana.

Acheni kutesa watoto wa watu hisia zao, yaan yeye anakuja kwako kwa mapenzi na upendo juu yako, na sio kuja kubeba jukumu la mwanamke mwenzake aliyeshindwa, yeye anakuja kwako ku enjoy nafas yake kwako na muyafurahie nyie wawili, aidha km watoto mtazaa wakwenu nyie km nyie.

Sipendi hii tabia ya watu kubebeshwa mizigo isiyo yao, wee na huyo mlozaa mtoto mtafute namna gan mtoto atapata malezi bora na sahihi kwa upande wenu tyuuh, na sio kuhusisha mtu asiyehusika.

Km ambavyo single mama wanavo sakamwa na kwa single baba ni hivyoo tyuuj. Binti wa watu aje apate tabu ya kulea mtoto sio wake, vitimbwi na matatizo kila kukicha, bado gubu za ndugu mtoto anateswa woiiii. Khaaaah.

Kila mtu ashinde match zake bhanaaa. Uwiiiiiiih.
Umeongea vizuri

Jioni nakupitishia gauni la kwa Mwakiswelelo
 
Sasa mtu anataka uchepuke naye for free??
Inatakiwa ukitoka hapo unakuwa ushamvuna hela za kutosha kama biko wanavyovuna buku za maelfu ya watu.

Hii itasaidia baba zetu,waume zetu kupata akili.
😂😂😂😂

Ila pia sio wanawake wote wanachepuka kwa ajili ya hela, kuna wengine wanahitaji huduma tu basi pesa wanazo zao za kutosha
 
A88FC1E1-20E3-4819-B961-72381FC5C8A6.jpeg

Hatimaye imekuwa vijana mnakwama wapiii😜😬😬
 
Back
Top Bottom