Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Aiseeekwa kweli.
Yaan mwanaume ana pesa, kila kitu natimiziwa, afu.nianze kuhoji kaoa au hajaoa? Au nijue kaoa.afu.nianze kuyeyusha wee.
Ni.mwendo wa kuchuna buzzi.tyuuuj uwiiiih

Aiseeekwa kweli.
Yaan mwanaume ana pesa, kila kitu natimiziwa, afu.nianze kuhoji kaoa au hajaoa? Au nijue kaoa.afu.nianze kuyeyusha wee.
Ni.mwendo wa kuchuna buzzi.tyuuuj uwiiiih

Sawa mkuuKesho asbh na mapema nitakupa direction, sasa utachagua utumie njia gan kuniletea
Eeeeeh???Mbona mie nilidate na mume wa mtu mwaka mzima na sikujua...sina hamu na nyie viumbe




Matumizi mabaya ya dhambiSasa unadate married man afu hana MPUNGA hayo ni matumizi mabaya ya dhambi hahaa




Kanuni ya sie vidampa, kudate na married man ni yule mwenye pesa tyuuh, hawa wengine wapambane na ndoa zao.![]()








Kumbe wale ndugu zangu wanajisifia hayo mambo ni wahayaMhaya mi kwani nina majivuno ya Kihaya? Umeshaniona najisifia ndinga kali, elimu, pisi kali au kuwa na pesa humu?
Mi Msukuma mshamba mlima nyanya na dengu wa huku Misungwi tu.
Nikumbushe kesho nitakuwekea mjukuu. Picha hazipo kwenye simu kwa sasa

Kwema kabisa mkuu, umeamkaje
Tunakuja kukutembelea ututoe out

Nimeamka salama kabisa namshukuru MUNGUKwema kabisa mkuu, umeamkaje
Morning loveBabe wangu unalala mapema
Morning to you mkakaView attachment 2162485
Elimu haina mwisho, ngoja nijifunze kuogelea miye
Very good morning to everyone here![]()
Still on bed babeMorning love
How is your day started

Nitapita Tazara leo nikusalimie Mkuu, ila utanisaidia kuvuka mataa hayo. Si unajua mwendo wetu Wazee mdogo mdogo tusije kugongwa na malori bure 🤪🤪Morning to you mkaka
Afu nipo serious mie, wala sio utani.Mi niko Tanzania bana. Njoo hapa Misungwi utanikuta![]()
Karibu sana mkuu, utakuta nakusubiriNitapita Tazara leo nikusalimie Mkuu, ila utanisaidia kuvuka mataa hayo. Si unajua mwendo wetu Wazee mdogo mdogo tusije kugongwa na malori bure![]()
