Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Usimuombee hivyo MkuuNa wewe utaolewa tu ukutane navyo vigumu
Usimuombee hivyo MkuuNa wewe utaolewa tu ukutane navyo vigumu
Sijakuwa bado 🚶🏻♀️🚶🏻♀️Hapana huwez vaa katika mchakato wa maandaliz as inaweza kupwaya kwa wakati huo.
Mara nyingi maandalizi yakishakamilika ndio inavaliwa rasmi tayari kuanza kazi
Au basikivipi tena?

Mamaaaaaaa 🙊🙉muambie baadae atafunzwa mubasharaa,.
Afu mbna kuifinyia ni old version, now kuna new hiyo ni kibokooo
Jamaa asipokoroma km tractor la mkopo lilokwama jarubani la mpunga, mje mnidai chenji. Uwiiiiiih
Hapo inabidi kufanyika jambo ..Tushaongea na kuongea, lakini poa
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!Mmmmmmmmmmmh
Pole sana mkuu, ila jitahidi kuvumilia hiyo hali itakuja tu kuisha na utamuenjoy mkeo as long as hachepuki hilo ndio la muhimu.Tushaongea na kuongea, lakini poa
Tena umsisitize hilo, kwenye pesa hapo tyuuh.Pole sana mkuu, ila jitahidi kuvumilia hiyo hali itakuja tu kuisha na utamuenjoy mkeo as long as hachepuki hilo ndio la muhimu.
Usichoke kumvumilia na kumpenda, huyo ndio atakufaa kwa nyakati zote, huku nje majanga tu utapendwa ukiwa na hela basi
Unatoboa ozone layer 🙉Pole sana mkuu, ila jitahidi kuvumilia hiyo hali itakuja tu kuisha na utamuenjoy mkeo as long as hachepuki hilo ndio la muhimu.
Usichoke kumvumilia na kumpenda, huyo ndio atakufaa kwa nyakati zote, huku nje majanga tu utapendwa ukiwa na hela basi
Nyakanga au siomnisamehe tyuuh.
Hahahha mimi niujulie wapi hiyo

ila wazee nyie mpo romantic mno .. acha tu mabinti waolewe na wazee .BhagoshaHiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!
Wanajua pa kutubania na kutuiba 😴Hahahha mimi niujulie wapi hiyo
Mshamba mmoja tu mimiila wazee nyie mpo romantic mno .. acha tu mabinti waolewe na wazee .