cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,288
- 187,945
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwan mie nifanyeje hapo babuuh? Kuhusu mke na watoto hilo ni lake halinihusu hata,Vibaya hivyo mjukuu. Kumbuka naye ana mke na watoto; na wazazi wa kuwaangalia. Huruma kidogo inahitajika![emoji16][emoji16]
Mie nipo kwake ku enjoy nafas yangu tyuuh. Hahahah