mapema
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 935
- 2,895
Yaani majuto majuto.Majuto
Yaani majuto majuto.Majuto
Ndicho kinacho wamaliza,yaani mke kumpa mumewe unyumba anaona kama dhambi yaani





khaaaahWapoHaijalishi maajabu, uliza aliyekaa 10+ yrs bila kupiga jicho pembeni, kama yupo basi Mungu ameshamuandalia makao yake tayari.
I wish one day ni experience hio kufinyiwaAkutane na mtu anaifinyia kwa ndani, hyo soksi itakumbukwa saa ngap kuvaliwa


Mtoto mdogo mambo kibaoImekuchoma eeeh? Poleeeeh.
![]()

Wewe sio mkristo e
Well saidOmbeni muangukie kuzuri, na ombeni kuolewa na wenye utu, ndoa zilizoifikia sasa ni rahisi sana kumshauri mtu asiingie kwenye ndoa

Hivi kuifinyie kwa ndani ni kufanyaje yaani unaifinya au😩chat zenu zimenivutia nahitaji kujifunza zaidi😍Akutane na mtu anaifinyia kwa ndani, hyo soksi itakumbukwa saa ngap kuvaliwa
Nguvu za kiume
Pole babaYaani majuto majuto.
Huyo kaandaliwa makao mda sana, na nyota zimejaa kichwani! Aliyebuni monogamy sijui aliwaza nini.Wapo
Kuna mmoja humu alishaleta uzi
cna neno ktk hili.najifunza hapaToa neno nawee mzee.![]()
Voda wakiiona hii umekwisha
Dogo na wew akili smtyms zipo zipo eeh ...lakini haji kuteseka dogo note that




kwamba unaniona mie zumbukuku? Kwamba muolewe na wenye utu ndio kuchungulia pembeni haitawezekana! Tunajitahidi lakini tunashindwa...hata Daudi na wenzake huko walishindwa.Well said![]()
Kama unanicheka vilePole baba