Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo nimefanya kazi kiboss sana

Za kunitoa nje zote nimewapa students wanisaidie.
Jua halijanipata hata ila sielewi nini shida.. au sina maji mwilini
dents wanakua watumwa woiiiiih.
 
Ipo hapo Mjini kati, niliona imeandikwa Lizzy Supermarket 🙊

Kama sio yako huenda Mwakani ukamiliki ya aina hiyo, Sema Ameen 💪

20220312_073534.jpg


Nyingine hiyo hapo 🤑.

Jana nilipita kupata mahitaji madohomadogo.

Wadada warembo 2 walinihudumia vizuri sana.
 
Na wanavyokuwaga na moto sasa, full kujishughulisha

I know you needed that laugh

Na hyo hali ya hewa, had saa nyingne unatamani uwe mtoto uweke poti pembeni kuepusha rout za kususu kila saa
watoto wa field hao? Wanakuwaga na moto mno yaan.
 
Back
Top Bottom