Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

It's not a very nice thing to do maana ni unyanyasaji, but, it works. Cha muhimu ni namna unayofikisha ujumbe...ila pia ni muhimu kuhakikisha the person in question is strong enough for that. Dogo alinenepa sana hapa katikati....nikamtania weee mpaka karudi kwenye mwili wake wa siku zote.

Sasa kahamia kwangu siku akijisikia kunichosha 😬😬
 
It's not a very nice thing to do maana ni unyanyasaji, but, it works. Cha muhimu ni namna unayofikisha ujumbe...ila pia ni muhimu kuhakikisha the person in question is strong enough for that. Dogo alinenepa sana hapa katikati....nikamtania weee mpaka karudi kwenye mwili wake wa siku zote.

Sasa kahamia kwangu siku akijisikia kunichosha
Watu wembamba...

Wasiokunywa pombe...

Wasiovuta sigara....

Wasio............

Wakijilinganisha na upande wao kinzani, watu hawa huwa wanajiona kama vile hawatakuja kufa. Utafikiri kila anayekufa ni bonge, mlevi au mvuta sigara!
 
It's not a very nice thing to do maana ni unyanyasaji, but, it works. Cha muhimu ni namna unayofikisha ujumbe...ila pia ni muhimu kuhakikisha the person in question is strong enough for that. Dogo alinenepa sana hapa katikati....nikamtania weee mpaka karudi kwenye mwili wake wa siku zote.

Sasa kahamia kwangu siku akijisikia kunichosha 😬😬
Well put together. 👍

Enjoy the show. Mkuki kwa nguruwe... 😄
 
Watu wembamba...

Wasiokunywa pombe...

Wasiovuta sigara....

Wasio............

Wakijilinganisha na upande wao kinzani, watu hawa huwa wanajiona kama vile hawatakuja kufa. Utafikiri kila anayekufa ni bonge, mlevi au mvuta sigara!
🤣🤣🤣🤣

Unfortunately, Israeli hachagui wala habagui 😏
 
Dating huwa ina utamu wake, haswa pale for the first time mnatoka maeneo fulani mnakula, mnakunywa, mnazungumza halafu kuna ile kuona aibu kimtindo haswa wanawake wakati wa kula, kila mmoja huwa anajitahidi kuonekana yupo perfect kuanzia muonekano, unywaji, ulaji hadi kuongea.

Halafu unakuwa makini haswa mwanamke akiwa anatoka anaaga anakwenda bathroom hasa kama mmekula 2,3, unakuwa unaangalia mkia kwa makini sana, sasa sipati picha wezere ya mahondaw itakavyofanya mtu aweweseke.

Beleive it or not dating huwa ni moment moja amazing sana hasa ukibahatika kupata pisi haswaa yenye hadhi inayojielewa, siku ya mechi mashuka huwa yanachanika.

Dating ni kama kichochezi flani, inaongeza ile hamu ya kutaka kujua yaliyomo yamoooo!!

Cause wote huwa mnavutia kuanzia marashi mpaka mavazi hivyo kufanya kila mmoja awe na hamu na mwenzie.
@mahondaw shouzzzzzzzz hebu soma hapa,
 
!! WW3 si tayari ujue hio Itakua WW4!

Nimeshasalute mjue mie siwawezi !!! Acha nipambane na bosi wangu huku mtaani tu!! Bosi asiekuwa na makuu Wala mambo mengi...!
Nakubaliiiiiii shouzzzzzzzz ake,
 
Back
Top Bottom