Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Dollar kadhaa hivi π΅π΅π΅π²π²π².. si unajua weekend ndio imeanza sasa..Digits ngapi hapo niwe motivated mimi??ππ
Dollar kadhaa hivi π΅π΅π΅π²π²π².. si unajua weekend ndio imeanza sasa..Digits ngapi hapo niwe motivated mimi??ππ
Hapana boss lady, nimeshaanza kufatilia kibali cha Mazingira Kwa Mhe. Jaffo lakini pia Ewura nitaenda kesho, kama utanipa walau milioni 10 hivi ningeweka mazingira ili week ijayo vibali vyote viwe tayari.ππππ
Hela zangu sio ngumu kuliwa ila kwavile nshajua unanipangia mipango imekula kwako ππ
Tufanye tu kesho boss lediSaint Anne na cocastic vocha zenu nahisi badae umeme umekatika cm ina 2%
Yohhhh....alizirudisha huyo jamaa?? π²π²π² Au ndo yale ya biashara imeβ mshkaji akatafuta babe mwingine? π¬Kuna mmoja nilimsoma humu aliwahi kumkopea boyfriend ake milioni 20 ya biashara, kwahiyo usinionee wivu boss lady Lizzy akija kunikopea milioni 50 nifanyie biashara.







Pole mdogo angu jamaniAhsante Tiny
Naimani hakitazidi.
Weeeeee.....labda nikope kwako πππAkikukopea naomba niwe chawa wako basi πππ
Acha ubahili boss lady, nikitusua Mimi maisha na wewe lazima tushare utajiri π€ͺYohhhh....alizirudisha huyo jamaa?? π²π²π² Au ndo yale ya biashara imeβ mshkaji akatafuta babe mwingine? π¬
Either way...that is a little too risky for my liking. π
Fanya haraka niibe proposal na mie nikafanye presentation kwingine πππKwa ninavyoijua hela Mchaga haingii ndani, ukisema hata mwezi Ujao nije kufanya presentation yake nipo tayari, najua nitaanza kulipwa advance kabisa π
Eeh angeoa sasa?
Aah nakusubiri ukirudi daslamHahaa niko Lindi nkamu unaweza kuja
ππ mgahawa umefikia wapi kwenye design kwanzaWeeeeee.....labda nikope kwako πππ
We fanya kufuatilia ila miamala nafanya mwenyewe. Siku hizi si tunatembea na control no. ama??? πππHapana boss lady, nimeshaanza kufatilia kibali cha Mazingira Kwa Mhe. Jaffo lakini pia Ewura nitaenda kesho, kama utanipa walau milioni 10 hivi ningeweka mazingira ili week ijayo vibali vyote viwe tayari.
Fanya kunitumia hicho kiasi boss, alafu mahali nimepata site ya kujenga ni nzuri sana, niliwakuta akina Oilcom na Total fuel β½ wakigombania Ile site, ni wewe tu umepata kwaajili yangu π
Kama Kuna uhakika wa Ile hela nitakuletea kesho Jioni hiyo project proposal.Fanya haraka niibe proposal na mie nikafanye presentation kwingine πππ
Siku hizi kama mbu wameongezeka
Afu hawasikii rungu yan
Wamekuwa wagumu kufa





Nipoze na ile selfie ya mshono wetu π₯³πPole mdogo angu jamani
Wewe lazima utakuwa Mpare si kwa ubahili huo π€ͺππWe fanya kufuatilia ila miamala nafanya mwenyewe. Siku hizi si tunatembea na control no. ama??? πππ
Hivi kale ka Mshono sikupost?Nipoze na ile selfie ya mshono wetu π₯³π
Niko busy natafuta inspiration ππππ mgahawa umefikia wapi kwenye design kwanza