Wow…unakaa mhansome loh![]()
mkitaka fundi pump nipoHahahaha.......kumbe you used to be there? Mbona hukunishtua hapa Nangurukuru?
Nenda ukafungue filling station uje uniajili kama Afisa masoko na mahusiano🙊
Yeahh...niliwahi kwenda for work. Inabidi ikitokea tena nikushtue tukale kuku wa kienyeji 🙂Hahahaha.......kumbe you used to be there? Mbona hukunishtua hapa Nangurukuru?
Nenda ukafungue filling station uje uniajili kama Afisa masoko na mahusiano🙊
Umemtelekeza ubavuHata Mimi nimemmiss
Sijui yuko wapi jamani
Tuone CV + motivational letter 😁😁mkitaka fundi pump nipo
Hii mwaka 2013 nikiwa kama pump fundi wa underground za chini ya maji, na za juu ya maji.. katika bwawa flani hiviTuone CV + motivational letter 😁😁
I can't wait to join you, wewe ni mtu mzito rafiki, kwangu could be bahati🙊Yeahh...niliwahi kwenda for work. Inabidi ikitokea tena nikushtue tukale kuku wa kienyeji 🙂
😄😄😄😄
Basi anza kwakuandaa business proposal ili upite bila kupingwa. 😆
Kale kabinti keupe hatimaye kameonekana. Nimeona mjadala unarindima eti katamuua age mate wangu kwa presha na mapigo ya kule siksi taimuzi siksi. Wabongo noma sana!
View attachment 2159621
Nkamu nilikwambia useme suuuuu, ukagoma. Si ungekuwa unanipelek beach hivyo?
Ooh pole babe, nini shida. Ulitembea juani mchana?Nipo 😂
Thoe nahisi kuwa na headache 🤕



😂😂 walipe tu chao
Leo nimefanya kazi kiboss sanaOoh pole babe, nini shida. Ulitembea juani mchana?
😃😃😃😃😃.. Barua ya Hati ya mashakata... uhujumu M-Pawa