GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Aiseeeee.,.
Aiseeeee.,.
Mwe gari ya ofisi hiyomtu anatembea V8 aanze kula nauli ya mtu wa paso utakuwa uhainu huo
Doh naona unanisagia kunguni leo
Nani alikuambia Hata angetembelea V8 hela ya mtu wa Passo hataki?
Sent using Jamii Forums mobile app


Pole SanaUwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141
Doh naona unanisagia kunguni leo![]()



I miss you..Thank you madam kwa kupita kijiweniMjep thank you vere machi for ze likes. Nilipita kijiweni kwako nikakukumbuka. Welcome back
I miss you more dear




I miss you more dear
Aonekanike wapi tena![]()




Njoo unga tela..twenzetu kwene baridi kidogo



huko ntapita mwez March.Upo kimyaAbee
Depal kama DepalChukua miguu yako Valentina View attachment 2072621
Watoto mmekulia mjini haya mmejulia wapi au unaniokota shosteee![]()




mbavu zangu mie, yaan nisijue embe spunda? Maji? Bolibo? Dodo? Ng'ong'o? Sindano? I meant now just home! Pia Yeah sipendi mimi ukiniwekea kifurushi chenye muvi zakutosha nikabidhi rimoti tu umemaliza..wewe nenda toka out hangout sijui nenda club huko ukirudi wanikuta na muvi zangu!! Sio mtu wa out kabisa!





wacha wee.Km kawaida ktk hostel za chuo fulaani.



Poleeeh sana.Uwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141
Wacha wee ngoja na mie niwe mkubwa, niwe nazurura hivyo tyuuh.Katikati ya nchi![]()


