Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
RRONDO si alishakuambia tutakuchapa kukiita "hostel" kijiwe chetu pendwa wana roadtripKm kawaida ktk hostel za chuo fulaani.![]()


RRONDO si alishakuambia tutakuchapa kukiita "hostel" kijiwe chetu pendwa wana roadtrip![]()




mumshauri huyo boss wa hiyo sehemu abadilishe muonekano bhana, japo wengi wanapasifia hapo had wanachuo waliowahi kuenjoy hapo. duh...Kale hujakazoea tu![]()
Kati ya hao interviewees Kuna my nephew, Kuna ka rafiki kangu ka faida kadada flani kabichii. Please tuliaDah! sema dom pamewaka sana.. plus vijana waliokuja piga interview ya takukuru pamewaka kishenziii.. hapapoi wala hapaboi.. Ni shangwe nimeweka 50/50.. asipo. tokea nitajua umenichania mkeka![]()
😁😁😁😁 huenda ndio natoka nako hapa bambalanga tunaenda zetu kulala sasaKati ya hao interviewees Kuna my nephew, Kuna ka rafiki kangu ka faida kadada flani kabichii. Please tulia
Najua kabisaaa.. haiwezekani uwe naulivore 😁😁😁.. naenda pumzika sasa.. kesho tuwepo mahala pengine.. naona haujafika dodoma hadi sahii na mna V8... ama Makiwendo kanifanyia jamboMwe gari ya ofisi hiyo
Though ni kweli mi siyo 'naulivore' kabisa
Hata usi panic mkuu Shimba Ya Buyenze. Mimi nimeugua dalili zote na bado nimevuka salama.Uwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141
Atokee wapi.. 🙄🙄🙄 paka sasa sijaona V8 wala V6.. Itakuwa umechanisha. mkeka.. mda huu ndio narudi kupumzisha fuvu
Mimi huyu 🙄🙄🙄🙄.. aseee nimeka sanaaa pale kahawani.. badae nika change location horaa.. nikajua yale yale ya MakiwendoI miss you more dear
Aonekanike wapi tena![]()
Mpaka usingizi umeishahuenda ndio natoka nako hapa bambalanga tunaenda zetu kulala sasa