cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Dimpoz.
Enwei nshaona yote, nimeunga vipande vipande,



Jibu gani tena?Enwei nshaona yote, nimeunga vipande vipande,
Jibu limepatikana.
La PC yako nzuri sana, nataka nkanunue ni bei gan?Jibu gani tena?
HizooooThank you madam kwa kupita kijiweni
Tafadhali kwa niaba ya mdogo wangu Saint Anne na wana selfika woote naomba ukumbuke ku share selfie za pale mahali hakika ni pazurii
I miss you more dear
Aonekanike wapi tena![]()
Busy na shule??Yaan humu saiv watu wanaweka picha na kufuta, sisi wenine tuko buzzy na mambo mengne nje ya humu, sasa tukija tunakuta manyoya tyuuh kuku ashaliwaa lol,
Msitufanyie hivyo jaman mweeeeh![]()
Ndiyo mambo yamepamba moto vibaya,Busy na shule??










Wacha banaNdiyo mambo yamepamba moto vibaya,
Fundi tanesco wa baadae, ntakua naunganisha gridi ya umeme. Taifa zima, hautakatika hovyoo![]()
Hahahaa itabidi tumchape tu sasa

