Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Nakumbuka.. masaa sita.. mtoto wa mwanamke mwenzenu mmenigandisha.. 😁😁😁
Nakumbuka.. masaa sita.. mtoto wa mwanamke mwenzenu mmenigandisha.. 😁😁😁
Ya Mwaka jana hayo...si yaishe jamaniNakumbuka.. masaa sita.. mtoto wa mwanamke mwenzenu mmenigandisha..![]()

😁😁😁.. Leo ndio leo.. nimejiweka mguu sawa kumpokea aseee.., labda niwe na bahati ya pimbi
😳😳 kumbe mwaka jana.. nilishasahu
.. Leo ndio leo.. nimejiweka mguu sawa kumpokea aseee.., labda niwe na bahati ya pimbi






Kuhusu hilo ondoa shakaaa.. 😁😁
Sema sijui kweli atatokea 😁😁😁😁.. ila Karma anaonekana sio sound kama wewe 😂😂
Unaanza kuhitimisha mapema namna hii?




Dah! sema dom pamewaka sana.. plus vijana waliokuja piga interview ya takukuru pamewaka kishenziii.. hapapoi wala hapaboi.. Ni shangwe nimeweka 50/50.. asipo. tokea nitajua umenichania mkeka 😂😂😂Unaanza kuhitimisha mapema namna hii?
Subiri atokee halafu utajua mimi na Karma nani sound nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mkeka hauwezi kuchanika..niamini..Dah! sema dom pamewaka sana.. plus vijana waliokuja piga interview ya takukuru pamewaka kishenziii.. hapapoi wala hapaboi.. Ni shangwe nimeweka 50/50.. asipo. tokea nitajua umenichania mkeka![]()

Asipotokea nitajua umemfundisha sound, maana Karma hana kabisa tabia za kurusha mutu 😁😁😁Leo mkeka hauwezi kuchanika..niamini..
Karma siyo mtu wa sound kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho basi jione tupige milkshake kwenye kiringe chako 😁😁😁Leo mkeka hauwezi kuchanika..niamini..
Karma siyo mtu wa sound kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha...Kwamba ni mimi tena nimemfundisha sound jamani?



Huu mwezi wote nipo MlimaniKesho basi jione tupige milkshake kwenye kiringe chako![]()

😁😁😁😬😁 mtu anatembea V8 aanze kula nauli ya mtu wa paso utakuwa uhainu huoHa ha ha ha...Kwamba ni mimi tena nimemfundisha sound jamani?
Ni kweli Karma hana hizo mambo...huyu hata kundi la wala nauli hayupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa mbwa ndiyo....Hahah ..hakuna... Unaogopa mbwa??![]()
mtu anatembea V8 aanze kula nauli ya mtu wa paso utakuwa uhainu huo






