Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,771
Nakumbuka.. masaa sita.. mtoto wa mwanamke mwenzenu mmenigandisha.. 😁😁😁
Nakumbuka.. masaa sita.. mtoto wa mwanamke mwenzenu mmenigandisha.. 😁😁😁
Leo Karma huyo hapo.[emoji23]Makiwendo alikurushia msala basi [emoji17][emoji17]aliniambia mnakuja, nikakaa masaa sita nasubiri
Ya Mwaka jana hayo...si yaishe jamani[emoji2]Nakumbuka.. masaa sita.. mtoto wa mwanamke mwenzenu mmenigandisha.. [emoji16][emoji16][emoji16]
😁😁😁.. Leo ndio leo.. nimejiweka mguu sawa kumpokea aseee.., labda niwe na bahati ya pimbi
😳😳 kumbe mwaka jana.. nilishasahu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji16].. Leo ndio leo.. nimejiweka mguu sawa kumpokea aseee.., labda niwe na bahati ya pimbi
[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji15][emoji15] kumbe mwaka jana.. nilishasahu
Kuhusu hilo ondoa shakaaa.. 😁😁[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Na msisahau kuselfika..
Cc Karma
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Kuhusu hilo ondoa shakaaa.. [emoji16][emoji16]
Sema sijui kweli atatokea 😁😁😁😁.. ila Karma anaonekana sio sound kama wewe 😂😂
Unaanza kuhitimisha mapema namna hii?Sema sijui kweli atatokea [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].. ila Karma anaonekana sio sound kama wewe [emoji23][emoji23]
Dah! sema dom pamewaka sana.. plus vijana waliokuja piga interview ya takukuru pamewaka kishenziii.. hapapoi wala hapaboi.. Ni shangwe nimeweka 50/50.. asipo. tokea nitajua umenichania mkeka 😂😂😂Unaanza kuhitimisha mapema namna hii?
Subiri atokee halafu utajua mimi na Karma nani sound nyingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mkeka hauwezi kuchanika..niamini..Dah! sema dom pamewaka sana.. plus vijana waliokuja piga interview ya takukuru pamewaka kishenziii.. hapapoi wala hapaboi.. Ni shangwe nimeweka 50/50.. asipo. tokea nitajua umenichania mkeka [emoji23][emoji23][emoji23]
Asipotokea nitajua umemfundisha sound, maana Karma hana kabisa tabia za kurusha mutu 😁😁😁Leo mkeka hauwezi kuchanika..niamini..
Karma siyo mtu wa sound kabisa[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho basi jione tupige milkshake kwenye kiringe chako 😁😁😁Leo mkeka hauwezi kuchanika..niamini..
Karma siyo mtu wa sound kabisa[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha...Kwamba ni mimi tena nimemfundisha sound jamani?Asipotokea nitajua umemfundisha sound, maana Karma hana kabisa tabia za kurusha mutu [emoji16][emoji16][emoji16]
Huu mwezi wote nipo Mlimani[emoji2]Kesho basi jione tupige milkshake kwenye kiringe chako [emoji16][emoji16][emoji16]
😁😁😁😬😁 mtu anatembea V8 aanze kula nauli ya mtu wa paso utakuwa uhainu huoHa ha ha ha...Kwamba ni mimi tena nimemfundisha sound jamani?
Ni kweli Karma hana hizo mambo...huyu hata kundi la wala nauli hayupo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa mbwa ndiyo....Hahah ..hakuna... Unaogopa mbwa??[emoji23][emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji51][emoji16] mtu anatembea V8 aanze kula nauli ya mtu wa paso utakuwa uhainu huo