Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
kwani nakaa Dom.. 😂😂😂 mie msafiri tu kama KarmaHuu mwezi wote nipo Mlimani
If you know you know...
Btw..si utakuwa Dom wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani nakaa Dom.. 😂😂😂 mie msafiri tu kama KarmaHuu mwezi wote nipo Mlimani
If you know you know...
Btw..si utakuwa Dom wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Makiwendo
Nani alikuambia Hata angetembelea V8 hela ya mtu wa Passo hataki?
Sent using Jamii Forums mobile app
😬😬😬😬 Karma upendo mwingi
Nani alikuambia Hata angetembelea V8 hela ya mtu wa Passo hataki?
Sent using Jamii Forums mobile app



au ndio ushaanza weka gear nzito ya nikija Dar unigandishe siku nzima uvunje record 😂😂😂 nitakushitaki kwa Karma
Akhsante sana na kwako pia mpendwa
Karma Mdogo wangu sana..unadhani atakusikiliza wewe au mimiau ndio ushaanza weka gear nzito ya nikija Dar unigandishe siku nzima uvunje recordnitakushitaki kwa Karma

Pole sana mkuuUwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141
Kwema Ely...Akhsante sana na kwako pia mpendwa
Kwema lakini mkuu


Pole Shimba...Uwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141
Vizuri sana kama ni kwema
Teh!!Hapana sipo mwanza mpendwa
Kimya kingi sana mkuu sijui hutaki Saint Anne![]()

Saint Anne tena Ely?
Pole, pona upesiUwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141
Hizo tangawizi na limao bila kumenya ingeziblend pamoja ungeweka na asali ..upate mchanganyiko mzito kama mtoriUwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141
atakusikiliza wewe asee 😂😂😂
Halafu huo mtori unaunywa/unaula hivyo hivyo au unauchuja kupata maji?Hizo tangawizi na limao bila kumenya ingeziblend pamoja ungeweka na asali ..upate mchanganyiko mzito kama mtori
Hivyohivyo unakunywa vijiko hata vinne.Halafu huo mtori unaunywa/unaula hivyo hivyo au unauchuja kupata maji?
Wabeja (Asante)Hivyohivyo unakunywa vijiko hata vinne.
Asubuhi mchana na jioni.


