Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,271
- 108,268
Hahaha mekumiss tu, long time no see toka uzi wetu ule wa night kali
naam
naam
Upo vizuriHivi kwanini muamala hausomi kaka wakati namba unayo?View attachment 1222940
Aiseee.Shindano Leo vipi.View attachment 1223003
Na wewe umefuta dahTayarii maana naona wenye mamizigi yao leo hawapo na sie wenye flats amaizing tutambe
Au sio?Naingia kulala sasa.
Jamani yule aliyesema tunatumia tecno asidhani hatuna simu. Ni vile hatupendi showoff za kishamba.View attachment 1223048
Huu uzi unanitendesha dhambi.Haya vimbau wote tunawatakia asubuhi na weekend njema
Wapi hii mzee babaTukutane makaburini kuendeleza ibada zetu kongwe..... nyie endeleeni na zilizokuja na botiView attachment 1224770
Na wanaume ndio mna huo upuuzi, sijui mna shida ganiwakuu kuweni makini picha unayotuma huku ukiwa umeiziba sura usije tena ukaipost kwenye hizi social media
mimi yamenikuta leo nimepost picha hapa nikiwa nimeiziba sura then nikaipost insta ikiwa full
akatokea jamaa wa kutokea sijui ana lengo gani akaitoa ile picha insta akaja kuiqoute chini ya hii niliyopost hapa.....
so guys kuweni makini sana



Na wanaume ndio mna huo upuuzi, sijui mna shida gani
Sasa uzwazwa wa kwenda kuchukua picha ya mtu uje uipost humu ili?
Wapi hii mzee baba
Kwa sababu za mgongano wa kimaslai naomba ku declare interest sitaweka self yangu.
Ila nasema kupitia uzi huu hapa JF kuna pin za kufa mtu, za kila aina nyingine utazigua tu hata kwa kupitia mwandiko. Mabaharia tunakwama wapi kutulia sasa, tukamate vitu hapa tupa ndani kisha tuna retire!
Hapa ukitaka combination ya ain yoyote unaipata.
Aisee.Wikiend imeanza.
Mpo viwanja gani nije eti.View attachment 1223576
Na wanaume ndio mna huo upuuzi, sijui mna shida gani
Sasa uzwazwa wa kwenda kuchukua picha ya mtu uje uipost humu ili?
Naona kama mmemuua. Mumkute kwake porini halafu mumdedishe, si sawa.Naona wote mpo mjini,
Wale wa michezo hatari, wazee wa ku explore mapori, wenye imani za kuji ground twende pamoja.
Mara moja kwa mwezi, tafuta pori ka ji ground huko, ka recharge roho yako... View attachment 1224507View attachment 1224508
AiseeMashindano ya miguu ni lini.View attachment 1223760
Nishatupia kumi kidogoTupia ya kwako basi mama tukuone
Upo vizuri.Kwangu pamekucha tangu saa 12.View attachment 1223959
Nishatupia kumi kidogo