Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tangu lini umeanza kuninafikia hivi!??Aisee acha basi kuzuga
Tangu lini umeanza kuninafikia hivi!??Aisee acha basi kuzuga
Then you should stop hold your breathUjue Leo sitoki humu bila picha zako



Kweli mchawi siyo lazima apae na ungo usiku!!
Yaani hata wewe ni wa kuniombea mimi nisiache utoto kweli??


Hard for you to change Marianah.Unajinafikia mwenyewe mbona.Tangu lini umeanza kuninafikia hivi!??
Mashaallah una rangi nzuri sana mpendwaHivi kwanini muamala hausomi kaka wakati namba unayo?View attachment 1222940
Niwekee Basi picha moja jamaniThen you should stop hold your breath![]()
Ipi hiyo mama?? Tatizo wewe msiri sana utafikiri usalama wa taifa yaani unanificha hata mimi dada yako??Hivi mipango yangu sijakuambia eeeh???
Tatizo hunikumbushi![]()
Sio povu ila hua nachukia watu wanaonihukumu kwenye kitu flani kwa kuangalia umri wanguMbona kama povu jamani, comment yangu haikuwa na ubaya ndani yake
Umeridhika sasa?Niwekee Basi picha moja jamani
Coz atapanda vilele vya milima yote aijuayo.Kwanini sasa aje afungue uzi?
Hapana sibadiliki kwa ajili ya mwanaume ila nabadilika kwa ajili yangu mwenyewe huwa najisikia amani sana moyoni nikiwa mpole na mnyenyekevu kwa mtu yeyote yule hata kama siyo mume wangu au wazazi wangu...but not for nowHard for you to change Marianah.
Ila kuna wanaume kibao wanaelewa watu kama wewe hivyo hivyo ulivyo.
So huna aja ya kuhofia tabia zako.



oh pleaseI am proud OF my age*I'm proud with my age... Kama una miaka 40 ni yako nami nitafika huko akipenda Muumba.
I'm young to yo but I've experienced a lot off stuffs than you.. And certainly u can reach them..
Msamaha gani ulekabisa yaani mie mwenyewe nilivamia ugomvi tu ila eti ndiyo nikajikuta nina hasira kuliko waliotukanwa hadi kaka wa watu kanung'unika haki inabidi niache huu utani wa kijinga humu JF kuna watu huwa wanamaindi kweli aise yaani mimi nikija kupata mume kauzu asiyependa matani sijui nitaishije nahisi nitakuwa nakula mabanzi kila siku




Nipe siri ya mafanikio kwenye hilo tumbo mamaShindano Leo vipi.View attachment 1223003
Shindano Leo vipi.View attachment 1223003
Msamaha gani ule![]()



yaani ule unaitwa msamaha wa kiintelijensia, ni watu wachache sana tunaoweza kuomba msamaha wa aina ile.