Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli mchawi siyo lazima apae na ungo usiku!!

Yaani hata wewe ni wa kuniombea mimi nisiache utoto kweli??
Hard for you to change Marianah.

Ila kuna wanaume kibao wanaelewa watu kama wewe hivyo hivyo ulivyo.

So huna aja ya kuhofia tabia zako.
 
Niwekee Basi picha moja jamani
Umeridhika sasa?
4121448_iwkad22r_jpegf250712212425426e5bd9bccf53cffa1.jpeg
 
Hard for you to change Marianah.

Ila kuna wanaume kibao wanaelewa watu kama wewe hivyo hivyo ulivyo.

So huna aja ya kuhofia tabia zako.
Hapana sibadiliki kwa ajili ya mwanaume ila nabadilika kwa ajili yangu mwenyewe huwa najisikia amani sana moyoni nikiwa mpole na mnyenyekevu kwa mtu yeyote yule hata kama siyo mume wangu au wazazi wangu...but not for nowoh please
 
kabisa yaani mie mwenyewe nilivamia ugomvi tu ila eti ndiyo nikajikuta nina hasira kuliko waliotukanwa hadi kaka wa watu kanung'unika haki inabidi niache huu utani wa kijinga humu JF kuna watu huwa wanamaindi kweli aise yaani mimi nikija kupata mume kauzu asiyependa matani sijui nitaishije nahisi nitakuwa nakula mabanzi kila siku
Msamaha gani ule
 
Back
Top Bottom