Pinkman
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 729
- 1,593
Nilikuwa ninataka kukupa pongezi ya 20k.Kwaheshima na taadhima naomba nichukue likizo ya kudumu kwenye huu uzi.Asante Mungu uzi haujafutwa japo dhoruba ilikuwa kubwa.
Asanteni washiriki wote na lile jeshi pendwa la "wanawake".
Mshana Jr nimechukua kitu kingine cha kuendea sokoni.
View attachment 1224059 kitu cha VL.
Na sasa naanza safari ya kuja kwako tujishindanishe viatu halafu utaleta matokeo.
Ila nilipenda tuu kusema "natembea nikiwa nimekaa. Hakikisha tunapokutana kuna parking nzuri. Nakuja pm.
View attachment 1224060
Wenye wivu hawataamini.
good day.
Ila kwa haya ninayoyaona 20k utaiona kama takataka.





