Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ah yule tena akianza mambo yake ya kutema ung'eng'e na kujibu aya moja baada ya nyingine mbona tutatafutana humu
Tena huwa anajibu neno kwa neno..
Yule jamaa Ni namba nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona kimbunga Cha arusha Cha Jana kitahamia humu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mdogo wangu usichezee bahati hiyo achana na Lizarazu hakufai huyo nenda kwa wanaume wanaojielewa kama hao hivi mbona nilishakufunda lakini hausikii unataka kuniaibisha mimi dada yako?? Nitaambia nini watu mimi jamani??[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
, [emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana.. Daaah haya bhana, yaani umeniharibia na kwingine kote.
 
JF is the only place where we can dare talk openly, besides JF there's no other place where we can confidently express our disgruntlements about this fascistic government.

I personally won't stop to animadvert this reprehensible government and no one will snatch me.

Acha kututisha mzee baba.
word!!!
 
Hivi kwanini muamala hausomi kaka wakati namba unayo?
20191003_003659.jpeg
 
Nakujua vema Sana.
Hilo ondoa shaka

Mimi nimeruka stage
Amen mdogo wangu nataka kuwa kama wewe unaonekana wife material sana kwa sasa mimi siyo wife material kabisa na wala sina mpango wa kuolewa ila nikianza kufikiria kuhusu kuolewa nitakuwa tu wife material[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]one day yes, never say never.
 
Amen mdogo wangu nataka kuwa kama wewe unaonekana wife material sana kwa sasa mimi siyo wife material kabisa na wala sina mpango wa kuolewa ila nikianza kufikiria kuhusu kuolewa nitakuwa tu wife material[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]one day yes, never say never.
kwa sasa mimi siyo wife material kabisa na wala sina mpango wa kuolewa ila nikianza kufikiria kuhusu kuolewa nitakuwa tu wife material [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
 
Tena huwa anajibu neno kwa neno..
Yule jamaa Ni namba nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona kimbunga Cha arusha Cha Jana kitahamia humu.
Kabisa tena kitakuja kwa ndege
 
Back
Top Bottom