Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aisee. Huu uzi ulifanya mnara wangu ukasoma 5G ila baada ya kufika kwenye haya magari mnara umerudi G kwa unyonge.
Basi hapo kuna jamaa mmoja hafurukuti yaani. Ila ana haki ya kutokufurukuta maana upo vizuri kweli.
Hata mimi ningepata Toto kama wewe ningekula hata mihogo nimnunulia private jet.
Hongera Madame Mwalimu na huko kwenye ualimu unauza sura tuu maana life tayari unalo.
Ngoja nizisake chapaa.
Mkuu huyu ndio boss anayeniweka mjini.
Ni mtoto wangu wa kwanza.
IMG_20191006_115704_325.JPG
 
Back
Top Bottom