amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Tayarii maana naona wenye mamizigi yao leo hawapo na sie wenye flats amaizing tutambe
Utuambie usiku mwema vizuri ukituangalia.
Utuambie usiku mwema vizuri ukituangalia.
Machungu ya kutoswa nahisi kama yanarudi mweh
Ndiwo. Jamaa anapokojolea.Ha ha ha ha huyo ndo yule wa cardi nani sijui mwenye pua kama bumunda??



Ndiyo tumelala tuma tu hatutaziona walaMmelala nishushe picha?
Kotekote SinaBasi kama hamna hipsi lazima utakuwa umefungasha nyuma.
Kesho Mimi na wewe tunageuka![]()





Ndiyo unaanza safari ya kuelekea Arusha usiku huu??Nipo serious kwanini?View attachment 1223018
😀😀😀😀yaani hata mimi niliisave aisee akome kuingia kwenye vyoo vya kike
Machungu ya kutoswa nahisi kama yanarudi mweh
ka black cute.
Yaani angefunika uchafu kwa rangi nzuri picha nimezihifadhi siku akileta fyokooo namuwekea vidole vya inzi wake
asante babePole baby
Hizi tundu za pua zimejua kujiachia mno (Mungu nisamehe maana huyu kiumbe anajua kukosoa wenzie)
Shindano Leo vipi.View attachment 1223003
🔥🔥🔥🔥🔥🔥

Swali la mbolea hili ndugu yangu.
Acha tuendeleze uzao wa machogo.unataka chogo?