Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Anzia namba 12012.Nimekuta page zimetembea nyingi nikaanzia hapo kwenye net.
Naomba uniambie vya nyuma pls![]()
Anzia namba 12012.Nimekuta page zimetembea nyingi nikaanzia hapo kwenye net.
Naomba uniambie vya nyuma pls![]()
Naona wote mpo mjini,
Wale wa michezo hatari, wazee wa ku explore mapori, wenye imani za kuji ground twende pamoja.
Mara moja kwa mwezi, tafuta pori ka ji ground huko, ka recharge roho yako... View attachment 1224507View attachment 1224508



Huu uzi bhana una kalimbwata.Hannah umerudi kwenye limbwata hili la Mshana? Ulipoaga leo asubuhi tena ukiwa kwenye Benzi nilifikiri ndo imetoka hiyo![]()
Hapa umenisaidiaAnzia namba 12012.
Na kuna wanaoweza kuondoa hizo emoji zinazoziba uso.wakuu kuweni makini picha unayotuma huku ukiwa umeiziba sura usije tena ukaipost kwenye hizi social media
mimi yamenikuta leo nimepost picha hapa nikiwa nimeiziba sura then nikaipost insta ikiwa full
akatokea jamaa wa kutokea sijui ana lengo gani akaitoa ile picha insta akaja kuiqoute chini ya hii niliyopost hapa.....
so guys kuweni makini sana
wakuu kuweni makini picha unayotuma huku ukiwa umeiziba sura usije tena ukaipost kwenye hizi social media
mimi yamenikuta leo nimepost picha hapa nikiwa nimeiziba sura then nikaipost insta ikiwa full
akatokea jamaa wa kutokea sijui ana lengo gani akaitoa ile picha insta akaja kuiqoute chini ya hii niliyopost hapa.....
so guys kuweni makini sana



King Ni King Mbappe aliyetaka kukuchomolea betri nini mkuu? Nilionawakuu kuweni makini picha unayotuma huku ukiwa umeiziba sura usije tena ukaipost kwenye hizi social media
mimi yamenikuta leo nimepost picha hapa nikiwa nimeiziba sura then nikaipost insta ikiwa full
akatokea jamaa wa kutokea sijui ana lengo gani akaitoa ile picha insta akaja kuiqoute chini ya hii niliyopost hapa.....
so guys kuweni makini sana



Wacha uchoyoooo
Kwendraaaa
huyo huyo mkuu.... alafu jamaa sina ubaya naye wala niniKing Ni King Mbappe aliyetaka kukuchomolea betri nini mkuu? Niliona![]()
wakuu kuweni makini picha unayotuma huku ukiwa umeiziba sura usije tena ukaipost kwenye hizi social media
mimi yamenikuta leo nimepost picha hapa nikiwa nimeiziba sura then nikaipost insta ikiwa full
akatokea jamaa wa kutokea sijui ana lengo gani akaitoa ile picha insta akaja kuiqoute chini ya hii niliyopost hapa.....
so guys kuweni makini sana
mimi utanikuta chit chat na kwenye ngono tu.....Kama unajihusisha na siasa imekula kwako....
Wenzio tulishajinasibu humu tunapenda ngono kuliko kula na hatuchagui k