Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Back house one dash[emoji2][emoji2][emoji2]ngumu bwana!ila tulikomaaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] hakika maths inatuheshimisha wengine "usimuone ivo anasoma comb ngumu huyo" nlikua nasikiliza memoz za watu.

Kna sku npo na mtu tunasoma prepo, ananiulza "iv ilikuaje ukapenda masomo haya? Maan hufanan wengi wenu mnakuaga HKL, HGL"

nliwaza mbali sana yaan.
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwanasayansi huyoo oo...Mimi mmesema wanangu watosoma wanavoviweza wee...mziki wa Advance Maths..hapana!
Kuna kombi mpya KFC(Kiswahili,French na Chinese)

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeiona af kwa wavulan iko Bihawana na Milambo wasichana iko Iringa girls, mchanganyko iko Dodoma sec. Nahis shule hizo tyuuh km sjakosea.
 
Waache watoto wakufate...

Arts nayo ipo ipo tu Kama uji wa mtoto 'no sukari no chumvi.

Me science O- level niliingia siku moja siku hiyo hiyo nikatoka [emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa muongeaji somehow sasa nimefika hapo science naona raia hata 20 hawafiki nikaona na haya makelele yangu sitoweza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hukuamua bhana wii, hata CBG? hukuitaka?
 
Nikikumbuka Olevel zile fimbo za mwalimu kwenye kuchambua sentensi sijui matawi,,dah mara unaandika kivumishi kumbe ni kitenzi kishirikishi sijui
Mara shina,unanyumbua sentensi nazo zinakunyumbua,inakuwa mnyumbuliko.
Niliachana kabisa na habari za kiswahili.
[emoji23][emoji23][emoji23] uchambuzi wa vitabu, nlkua hata sihusiki mie.
 
At some point, huwa naamini kuiweza Maths ni kipaji kama ilivyo kwa vipaji vingine.
The gap is too big kati ya wanaoiweza na wasioiweza. Imagine wa kwanza ana 90+ afu wengi wapo kwenye 30,40
Kna mpare alikua anatuongozea class, yule mtu maths alizaliwa nayo, tupo 4m 3 anapigisha pind 4, kila test na mitihan hashuki chin ya 95,

4m 4 akatoka na 1 ya 9, akaenda advance vipaji maalumu huko Tabora PCM, now yko UDSM telecommunications engineering. yule mtu ana akili mweeeh
 
Fanya hima maana[emoji1787][emoji1787]
Hako kacocastic kakija hapa hakachelewi kusema nyokooh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmmh huyu nishampuuza, kna uzi nmeona anazozaana na mtu hovyo afu hana hata habari, nkajua kuna tatzo sehem, jua kali hili, umeme na maji wa mgao, ni kuvumiliana tyuuh.
 
Back
Top Bottom