Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tumehangaikaaa weeee
Huku mtaani hakuna mambo magumu hata, ni kuhesabu miamia tu za karanga.
Tumehangaikaaa weeee
a. Weka mapicha ya safariniNa bado mapicha
Chagua:
a.Niweke mapicha
b.Unaweka mguu niliowahi kuunadi likesnikani
I'm good Saguda, how's you?Depal, how are you my beautiful friend?
Nakuona 🤣🤣🤣🤣Nipo hapa D
Itakuwa ni kama!! Ila sio shule hapo.hayo madirisha km shule fulan kongwe ya serikali, nlisoma hapo O level, mweeeeh
Nmekumbka mbali sana.
Jibu ni ba. Weka mapicha ya safarini
Jioni nitakuwa mjini napiga vyomboSee you there![]()
Uko na rangi nzuriKilikuwa kinywaji pendwampaka siku kiliponipa hangover ya kuniua
![]()
Black ice mnyama anayeuma huku anapuliza. View attachment 2013418
I'm okay, am so glad to say hi to you nice "toto"I'm good Saguda, how's you?
At some point, huwa naamini kuiweza Maths ni kipaji kama ilivyo kwa vipaji vingine.nimecheka sana..sijawahi acha Maths nikiikwepa imejaa...baasi naishi nayo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Viete..
Nifurahishe na mimi basi kwa kapicha kamoja full bila emoji 😉I'm okay, am so glad to say hi to you nice "toto"
Nikikumbuka Oliver zile fimbo za mwalimu kwenye kuchambua sentensi sijui matawi,,dah mara unaandika kivumishi kumbe ni kitenzi kishirikishi sijui
Mara shina,unanyumbua sentensi nazo zinakunyumbua,inakuwa mnyumbuliko.
Niliachana kabisa na habari za kiswahili.


somo rahisi kuliko yooote ktk uso wa ardhi kiswahiliWorry outYaani sijui hata nilikuwa nawaza wapi
Naomba niitumie ile picha ya Sketi ya marinda kama Avatar yangu pls.



hivi uko serious inabidi nkutumie picha yangu full aseeh!ila mi ni mzee sanaHaha vieite ya HumphreyViete..
Utuletee zawadi za vyuku + alizeti
ujage daslamu uchukue mmojaChaaaaa! Yaani nitume kavukavu? Pekupeku?Nifurahishe na mimi basi kwa kapicha kamoja full bila emoji![]()
Madam kama madamWorry outhivi uko serious inabidi nkutumie picha yangu full aseeh!ila mi ni mzee sana
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Poleni