Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
Jana niliona anapitisha likes kwenye comments zangu uzi fulani.Hivi kd kaonekana kweli?nmem miss kwakweli
Usijali totoo![]()

Ukimuona mwambie nimemkumbukaJana niliona anapitisha likes kwenye comments zangu uzi fulani.
Ameamua awe mpenzi mtazamaji,,sijui nani anamficha![]()

Rafiki unataka nife maji??
MimiJana niliona anapitisha likes kwenye comments zangu uzi fulani.
Ameamua awe mpenzi mtazamaji,,sijui nani anamficha![]()
Haina mjadala hii
Imeisha kwa mbili..
Kama derivative ya constance namba vile![]()


sawa nakubaliMimi nimeamua niwe nakumbuka za kujumlisha na kutoa tu ,nyingine za kutiana tu stress.


maths bhana, advance tupo class sku ya kwanza teacher anasema "nyie ndio wana hisabati? Hahahah, haya bwana sawa tutakua pamojaa" kilichokua kinafuata, watu wanataman wasome BAM. mweeeeeh

wamenifanya niondoke hadi saa nane ndio wameniambia patakuwa free chumba
Kijiwe pendwa
maths bhana, advance tupo class sku ya kwanza teacher anasema "nyie ndio wana hisabati? Hahahah, haya bwana sawa tutakua pamojaa" kilichokua kinafuata, watu wanataman wasome BAM. mweeeeeh
![]()




Afadhali umlete maana tumemmiss mno.Mimi
Jioni nitamleta![]()
Rafiki unataka nife maji??
Ukimuona mwambie nimemkumbuka
Hizo likes itakua kwenye picha![]()




Mwalimu wa math alikuwa akiwaangalia anacheeekaa.
Sasa mwalimu mwenyewe akianza kucheka imagine![]()



yaan advance kna vituko, ila tuache utaan PCB, PCM, PGM n kisanga, nusu watu wawe machizi, walimu wanawatisha new comer wa 4m 5 pale mwanzon,


Mimi nimeamua niwe nakumbuka za kujumlisha na kutoa tu ,nyingine za kutiana tu stress.


haya bwana ukijua kuhesabu oesa inatosha!Na we mzembe kweli Dada!mda wote huo usinipate dogo
Yaani nimepata taabu mno kung'amua huu ujio wako mpya hadi pale niliposoma kule kwenye uzi mdau alikuquote .
Dah mimi mzembe![]()




Kwani KLF hukuiona?yaan advance kna vituko, ila tuache utaan PCB, PCM, PGM n kisanga, nusu watu wawe machizi, walimu wanawatisha new comer wa 4m 5 pale mwanzon,
Unarud home umekonda, akili yote wenge tyuuh, mie week 3 za mwanzon nliumwa had hospital, uwiiiih.
Back house one dashmaths bhana, advance tupo class sku ya kwanza teacher anasema "nyie ndio wana hisabati? Hahahah, haya bwana sawa tutakua pamojaa" kilichokua kinafuata, watu wanataman wasome BAM. mweeeeeh
![]()


ngumu bwana!ila tulikomaaa