Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
[emoji2][emoji2][emoji2]
Kijiwe pendwa
[emoji2][emoji2][emoji2]
Jana niliona anapitisha likes kwenye comments zangu uzi fulani.Hivi kd kaonekana kweli?nmem miss kwakweli
Usijali totoo[emoji4]
Ukimuona mwambie nimemkumbukaJana niliona anapitisha likes kwenye comments zangu uzi fulani.
Ameamua awe mpenzi mtazamaji,,sijui nani anamficha[emoji16]
Rafiki unataka nife maji??
MimiJana niliona anapitisha likes kwenye comments zangu uzi fulani.
Ameamua awe mpenzi mtazamaji,,sijui nani anamficha[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] sawa nakubaliHaina mjadala hii [emoji38]
Imeisha kwa mbili..
Kama derivative ya constance namba vile[emoji16]
Utaingia mda mbaya, af ntakua nmelala [emoji23][emoji23]Nipokee Mbezi[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] maths bhana, advance tupo class sku ya kwanza teacher anasema "nyie ndio wana hisabati? Hahahah, haya bwana sawa tutakua pamojaa" kilichokua kinafuata, watu wanataman wasome BAM. mweeeeeh[emoji23][emoji23]Mimi nimeamua niwe nakumbuka za kujumlisha na kutoa tu ,nyingine za kutiana tu stress.
wamenifanya niondoke hadi saa nane ndio wameniambia patakuwa free chumba[emoji2][emoji2][emoji2]
Kijiwe pendwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] maths bhana, advance tupo class sku ya kwanza teacher anasema "nyie ndio wana hisabati? Hahahah, haya bwana sawa tutakua pamojaa" kilichokua kinafuata, watu wanataman wasome BAM. mweeeeeh[emoji23][emoji23]
Afadhali umlete maana tumemmiss mno.Mimi
Jioni nitamleta [emoji41]
Rafiki unataka nife maji??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukimuona mwambie nimemkumbuka
Hizo likes itakua kwenye picha[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan advance kna vituko, ila tuache utaan PCB, PCM, PGM n kisanga, nusu watu wawe machizi, walimu wanawatisha new comer wa 4m 5 pale mwanzon,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwalimu wa math alikuwa akiwaangalia anacheeekaa.
Sasa mwalimu mwenyewe akianza kucheka imagine[emoji16]
[emoji2][emoji2][emoji2]haya bwana ukijua kuhesabu oesa inatosha!Mimi nimeamua niwe nakumbuka za kujumlisha na kutoa tu ,nyingine za kutiana tu stress.
Na we mzembe kweli Dada!mda wote huo usinipate dogo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji847]
Yaani nimepata taabu mno kung'amua huu ujio wako mpya hadi pale niliposoma kule kwenye uzi mdau alikuquote .
Dah mimi mzembe[emoji1787]
Kwani KLF hukuiona?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan advance kna vituko, ila tuache utaan PCB, PCM, PGM n kisanga, nusu watu wawe machizi, walimu wanawatisha new comer wa 4m 5 pale mwanzon,[emoji23][emoji23][emoji23]
Unarud home umekonda, akili yote wenge tyuuh, mie week 3 za mwanzon nliumwa had hospital, uwiiiih.
Back house one dash[emoji2][emoji2][emoji2]ngumu bwana!ila tulikomaaa[emoji23][emoji23][emoji23] maths bhana, advance tupo class sku ya kwanza teacher anasema "nyie ndio wana hisabati? Hahahah, haya bwana sawa tutakua pamojaa" kilichokua kinafuata, watu wanataman wasome BAM. mweeeeeh[emoji23][emoji23]