Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Kila siku unasafiri
Kila siku unasafiri
Kwani KLF hukuiona?




mwanasayansi huyoo oo...Mimi mmesema wanangu watosoma wanavoviweza wee...mziki wa Advance Maths..hapana!Bora umeniwakilisha
Usijifiche sana
Mimi na King tunakumiss mno![]()
Wewe tu hujanitafuta me nipo daily 😁😁Hivi kd kaonekana kweli?nmem miss kwakweli
Usijali totoo![]()
Waache watoto wakufate...mwanasayansi huyoo oo...Mimi mmesema wanangu watosoma wanavoviweza wee...mziki wa Advance Maths..hapana!
Kuna kombi mpya KFC(Kiswahili,French na Chinese)
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
MimiNani ananiita?
Ningekuwepo ningekaribia fish fish mkuu na vile leo kuna band nisingekosekana hapoKaribu pazuri, weekend usiku dar ukaribie fish fish![]()
First born anajua kingereza ,second born hesabu yaani nshajua kila mmoja anachokihitaji!!Waache watoto wakufate...
Arts nayo ipo ipo tu Kama uji wa mtoto 'no sukari no chumvi.
Me science O- level niliingia siku moja siku hiyo hiyo nikatoka![]()
Nilikuwa muongeaji somehow sasa nimefika hapo science naona raia hata 20 hawafiki nikaona na haya makelele yangu sitoweza.
Depal, how are you my beautiful friend?Mimi
Baada ya kupoteza muda shuleni kuvuruga kichwa changu shule nimeamua sasahivi nibaki na za kujumlisha tu hela.yaan advance kna vituko, ila tuache utaan PCB, PCM, PGM n kisanga, nusu watu wawe machizi, walimu wanawatisha new comer wa 4m 5 pale mwanzon,
Unarud home umekonda, akili yote wenge tyuuh, mie week 3 za mwanzon nliumwa had hospital, uwiiiih.
DogooooBora umeniwakilisha
See you there 🤗Akiyanani
😀😀😀😀 jamaniAmeamua awe mpenzi mtazamaji,,sijui nani anamficha![]()
Wacha ituue, tumeanza kuishabikia tangu Tanzania ikiitwa Tanganyika chini ya Mkoloni Mwingereza 😜💪
Nikikumbuka Olevel zile fimbo za mwalimu kwenye kuchambua sentensi sijui matawi,,dah mara unaandika kivumishi kumbe ni kitenzi kishirikishi sijuimwanasayansi huyoo oo...Mimi mmesema wanangu watosoma wanavoviweza wee...mziki wa Advance Maths..hapana!
Kuna kombi mpya KFC(Kiswahili,French na Chinese)
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Na bado mapichaKila siku unasafiri





Nipo hapa DMimi
NimekujaDogoooo
Umekuja
Yaani sijui hata nilikuwa nawaza wapiNa we mzembe kweli Dada!mda wote huo usinipate dogo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
