Don Vito
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 1,340
- 2,092
Pisi kama pisi
Lucky is the guy having you....
Pisi kama pisi
Usalama utoke wapi ndugu yangu 😀😀😀Kidimbwini tena😅 usalama upo lakini?
Hahahahah bustani imependeza maua sio 😂😂😂! Piga redbull baridi kwanza, zingatia kufunga mkanda!Usalama utoke wapi ndugu yangu
Wewe ni Mkongo?
I emailed you!.
SijaonaI emailed you!.
Hebu soma email yangu dada. Na imekufikia, basi ujeuri tu.
..bro Una undugu na Adam mchomvu?View attachment 2018837
Cant feel my face
Angalia hata kwa screenshot yako. Hiyo hapo juu.Sijaona
Hivi nilikuruhusu lini uwe unaweka picha zako humu? 😟
Ooooh kumbe etiAngalia hata kwa screenshot yako. Hiyo hapo juu.
Ni yangu. Naomba unijibu.
Hebu tuone wewe sura yako ya kiuhasibu.....bro Una undugu na Adam mchomvu?
Una Sura ya kiafande sn Kaka..sema ni mwana Tu ahahahha
Niliwahi kupost picha humu Depal na financial services wakaniandama sn kwamba ni under 18
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mwana mpotevu
Imejipost 😊Hivi nilikuruhusu lini uwe unaweka picha zako humu? 😟
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwahio mie naoneka kamanda sirro au muroto..bro Una undugu na Adam mchomvu?
Una Sura ya kiafande sn Kaka..sema ni mwana Tu ahahahha
Niliwahi kupost picha humu Depal na financial services wakaniandama sn kwamba ni under 18
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Uone mara ngapi D wakati umeshaniona Tyr🤣Hebu tuone wewe sura yako ya kiuhasibu...
Andaeitini mpo wengi, inabidi tumuombe Melo awajengee jukwaa lenu muwe mnacheza huko
Me au wewe? Na unakuja kimya hata husalimiiMwana mpotevu
Nakumind kinyama.Imejipost 😊
Mwamba Fulani hivi wa mitama km mchomvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwahio mie naoneka kamanda sirro au muroto
Nataka na LeoUone mara ngapi D wakati umeshaniona Tyr🤣