Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kna mpare alikua anatuongozea class, yule mtu maths alizaliwa nayo, tupo 4m 3 anapigisha pind 4, kila test na mitihan hashuki chin ya 95,

4m 4 akatoka na 1 ya 9, akaenda advance vipaji maalumu huko Tabora PCM, now yko UDSM telecommunications engineering. yule mtu ana akili mweeeh
Ndio shughuli zetu hizo😅
 
Ndio shughuli zetu hizo
Makande yana virutubisho vyote muhimu vya kukuza ubongo wa mtoto hivyo haishangazi
Kusini-ALB-Makande-TZ.jpg
77985_4653.jpg
 
Back
Top Bottom