Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,621
Nina kazi na wewe dogo dimpo😅Hebu tuone wewe sura yako ya kiuhasibu...
Andaeitini mpo wengi, inabidi tumuombe Melo awajengee jukwaa lenu muwe mnacheza huko
Nina kazi na wewe dogo dimpo😅Hebu tuone wewe sura yako ya kiuhasibu...
Andaeitini mpo wengi, inabidi tumuombe Melo awajengee jukwaa lenu muwe mnacheza huko
NextimeNaomba nione mguu![]()
Haha wakati mie Naona anataka kufanana na Idris Sultan mkuu..bro Una undugu na Adam mchomvu?
Una Sura ya kiafande sn Kaka..sema ni mwana Tu ahahahha
Niliwahi kupost picha humu Depal na financial services wakaniandama sn kwamba ni under 18
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ndio shughuli zetu hizo😅Kna mpare alikua anatuongozea class, yule mtu maths alizaliwa nayo, tupo 4m 3 anapigisha pind 4, kila test na mitihan hashuki chin ya 95,
4m 4 akatoka na 1 ya 9, akaenda advance vipaji maalumu huko Tabora PCM, now yko UDSM telecommunications engineering. yule mtu ana akili mweeeh
Makande yana virutubisho vyote muhimu vya kukuza ubongo wa mtoto hivyo haishangaziNdio shughuli zetu hizo![]()





Eeh kweli babaMakande yana virutubisho vyote muhimu vya kukuza ubongo wa mtoto hivyo haishangazi
View attachment 2019190View attachment 2019191
Tunakuunganisha kwenye kesi ya ugaidi





Kumbe za kidunia nazo unaishigi nazo! Nikajua ni mwendo wa injili tu mwanzo mwisho😅
Hahahahahahah ugaidi gani tena jamani😅Tunakuunganisha kwenye kesi ya ugaidi![]()
Wakazi wa Mji Mwema utawajua tu 😂 asubuhi asubuhi kwenye maji kama bata
Unaona mwenzako alivyoweka? Naomba uweke naweTunakuunganisha kwenye kesi ya ugaidi![]()
Nakula tu mawe hatuna ajira 😀😀Kumbe za kidunia nazo unaishigi nazo! Nikajua ni mwendo wa injili tu mwanzo mwisho😅
Wakazi wa Mji Mwema utawajua tu 😂 asubuhi asubuhi kwenye maji kama bata