Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20211121_184305.jpg
20211122_094831.jpg
 
Moja ya mambo yanayoitia doa nchi ni pale ambapo mwanasiasa wa Chama Kikuu cha Upinzani anatoweka katika mazingira tatanishi. Juhudi za kumtafuta zinapokosa mafanikio, mnaukuta mwili wake mortuary! Hakuna ajuaye kama Polisi 'wanaokota mwili' wanatangaza maeneo husika kabla ya kuupeleka mortuary! Ole wako uhoji mazingira hayo! Utahitaji ujasiri wa Kiaskofu kuhoji mambo kama hayo!

Ndugu Erasto Amos Makaranga ambaye kabla ya umauti kumkuta alikuwa Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Buswelu, Jimbo la Ilemela katika Mkoa wa Mwanza. Taarifa zinaeleza kuwa amekutwa amekufa baada ya kupotea 7 Novomba 2021. Kupotea kwake na taarifa za kifo chake ni moja ya mambo yanayofikirisha na kuibua hofu kubwa katika nchi.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
FB_IMG_1637571747944.jpg
 
Back
Top Bottom