Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,804
- 225,577
Kumbe kule!Wa isimani kwa mh lukuvi nyuma kidgo ya nyang'oro
Okeee.
Kumbe kule!Wa isimani kwa mh lukuvi nyuma kidgo ya nyang'oro
Naomba nione mguuView attachment 2018837
Cant feel my face
Huyo ni Kingsman?
Wanaopendwa na kina nani?Uko njema kumbe hizo madimpoz walisemaga zipo kwa watoto wanaopendwa sana😎
Na raia wengi tu!Wanaopendwa na kina nani?
Mpya hii
We tulia wasikuskieHuyo ni Kingsman?
Mzee mbona kama unakula “zana”
Tukutane kidimbwi kama vipi 😀😀😀Mzee mbona kama unakula “zana”
Kidimbwini tena😅 usalama upo lakini?Tukutane kidimbwi kama vipi 😀😀😀
Hio bila ugali mzee unakulaje mboga bila chakula au bado haujaiva?
Mashaallah like that pattern
Mliesema anateka watu si hayupo 😅Ujasiri nimeupenda, hatujifichi tena
Nakubali mwaisa pamoja sana 😍Hapahapa Town.
Sema nini!
Selfie yako Imeitendea haki ID yako.
Mnyamwezi sana
Kwamba mwamba anakula ndomuMzee mbona kama unakula “zana”
We unaonaje hayo mavitu hapo😁
Oya bro,fanya kitu Kwa mtoto wa kimeru DepalUko njema kumbe hizo madimpoz walisemaga zipo kwa watoto wanaopendwa sana