cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Wapi hapa.Tiresome day View attachment 2008105
Wapi hapa.Tiresome day View attachment 2008105
hivi sio wewe niliyekuona pale juu? Mchana?
Aloooh humu ndani kuna vijana watramuuu.




mie wananiuzi wanaweka dp za kizee, kmbe vijana fulan wanaoshawishi,acha kuisingizia pombe. Ulipe madeni ya VICOBa huko



yaan nikiwaza vicoba, mie had mishipa ya nyege inasinyaa nywiiih lolKafupi, kakimini.
Sijawahi kuvaa,siku niliyonunua mama alisema gauni gani hilo??
Limekaa kuvaa shughuli za usiku.





MengeleWewe!!! Hujui kweli?
Ni zile njia za kuingia nyumbani.. Umeelewa sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app

Kiatu kizuri,



Rombo moja hiyo.Sasa mi hizo njia mi najua zinaitwa "Mengele"..pembeni unakuta kuna majani ya masale..
Sent using Jamii Forums mobile app
MmmmhMachana nikatoka job nikaenda geto mara 1, nikanyonga vijiti, ki1 cha kuranduka usiku!!
N.B. Nakula vijiti vidogo vidogo mara 1 kwa mwezi tu kwa malengo maalumView attachment 2008202View attachment 2008203
Hii kitu naipenda ila hua inanisaliti kila nikijaribu kupika zinatoka kaukau
Sasa nimeamua kuacha nitajaribu tena sijui mwaka gani huko

Aise we jamaa kumbe mcute halafu kachalii kadogo tu! Humu watu wengi mna comments za kibabe hadi huwa tunadhani mna miili nyumba na sura ngumu kumbe hata viganjani hamjai mwee!






D nifanyaje nami niwe na dimples kama hivyo? Nazipenda
Ukiniona wakati napika navyokua makini kufatisha youtube + screenshots kama zote ila ola!
Ukipika mara kwa mara unaimprove
Ukipumzika kupika,siku ukianza tena,unaanza upya.
Niliona kamening'inia nikakaangalia haraka haraka nikakachomoa.
Hata mimi nipo juu ya magoti.
Nimefika nalo nyumbani mama anauliza eti nimemnunulia mtoto![]()






Ukiniona wakati napika navyokua makini kufatisha youtube + screenshots kama zote ila ola!
Napokosea sielew maana nafata procedure zote, nimesema nikijaribu tena vikabuma ndio itakua mara ya mwisho.
Nitanunua tu za barabarani




Ngoja nianze kibubu challenge nipate nauli twendeTwenzentu Uturuki 😂