Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Ukipika mara kwa mara unaimprove

Ukipumzika kupika,siku ukianza tena,unaanza upya.
Ukiniona wakati napika navyokua makini kufatisha youtube + screenshots kama zote ila ola!
Napokosea sielew maana nafata procedure zote, nimesema nikijaribu tena vikabuma ndio itakua mara ya mwisho.
Nitanunua tu za barabarani
 
...
20211112225021.jpg
 
Ukiniona wakati napika navyokua makini kufatisha youtube + screenshots kama zote ila ola!
Napokosea sielew maana nafata procedure zote, nimesema nikijaribu tena vikabuma ndio itakua mara ya mwisho.
Nitanunua tu za barabarani

Usicomplicate sana.

Ukipika ziweke pamoja kwenye pot,
Zinakuwa laini mno.

Usiache zikapigwa na baridi,ukiepua.
 
Back
Top Bottom