cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Hii kitu naipenda ila hua inanisaliti kila nikijaribu kupika zinatoka kaukau
Sasa nimeamua kuacha nitajaribu tena sijui mwaka gani huko






Hii kitu naipenda ila hua inanisaliti kila nikijaribu kupika zinatoka kaukau
Sasa nimeamua kuacha nitajaribu tena sijui mwaka gani huko






Ni mateso basi tu😂
Usicomplicate sana.
Ukipika ziweke pamoja kwenye pot,
Zinakuwa laini mno.
Usiache zikapigwa na baridi,ukiepua.
Cadate hiz cjui tukoje, yaan km karatas




Stand, ulkua unaenda wapi?Mbezi kwa mzee baba Magufuli
I can teach you,ukitakaHii kitu naipenda ila hua inanisaliti kila nikijaribu kupika zinatoka kaukau😂
Sasa nimeamua kuacha nitajaribu tena sijui mwaka gani huko
Jaribu.Ni mateso basi tu
Nitajaribu hiyo tip nione kama itawork kwangu, nitakupa mrejesho ukiona kimya bas ujue bila bila![]()
Hongera sana, bati umejua kuchagua, n nzuri rangi inavutia.Site... kibanda..
View attachment 2008366
Wee chapat mbna kupika n simple xan,Unancheka eeh
Kuku ungemfanya awe kange ingekuwa

Zinaonekana lainii na tamuu😍
Hapana.
Recipe pls. Sio utupigie tu kelele hapa kumbe unajua kuchemsha tu maji ya kuoga.Wee chapat mbna kupika n simple xan,
Nitajaribu next time.Kuku ungemfanya awe kange ingekuwa![]()

Wii umetuma pcha ya gaun kimini umefuta xjaona, au wee hutak kuolewaa ungonini?Nikuone



Za kawaida.Zinaonekana lainii na tamuu![]()
Usiweke mchuzi.Nitajaribu next time.
Japo kuku wa mchuzi mchuzi huwa sipendi sana![]()
Recipe pls. Sio utupigie tu kelele hapa kumbe unajua kuchemsha tu maji ya kuoga.




jaman my wii umenidaka juu juu, recipe nshahau, housemaid wangu ndo kaz yake hyo. Lol