Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,403
- 12,019
Hapo sawa rafiki.Ni rahusa pia kunitext mkuu.
Sibagui,sichagui![]()
Hapo sawa rafiki.Ni rahusa pia kunitext mkuu.
Sibagui,sichagui![]()
Linatia aibu wakati unanunua hukuona? 😂😂 Langu mimi liko juu ya magoti, hatua mbili limefika mapajani 😩Kimini hicho yaani linatia aibu.
Nimebadilisha simu yaani nimepoteza namba zote
Ndugu zanguni mwenye namba yangu naomba Unitext ili nipate namba na kusave.

Kuwa kama ni rahaa. Sitaki kukumbuka enzi za popobawa kulala na vijinzi 🤣I wish I was popobawa![]()
Niliona kamening'inia nikakaangalia haraka haraka nikakachomoa.Linatia aibu wakati unanunua hukuona?Langu mimi liko juu ya magoti, hatua mbili limefika mapajani
Ndugu zako wamesikia... Next time u save kwa email.


I miss the old me.Kwenye masinagogi ya usikuView attachment 2008318
Umri umeenda Sana ama ndio mwisho wa dunia u karibuI miss the old me.
Nilikuwa popoikitokea siku nilale saa 4 nashindwa.
Siku hizi saa 2 ikinikuta nje, nafeel uncomfortable.
Nimeokoka... Karibu kwenye wokovu.Umri umeenda Sana ama ndio mwisho wa dunia u karibu
Na Mimi nimeokoka kanisani kwetu bia sio big deal we just drink for fun and sleepNimeoaka... Karibu kwenye wokovu.
Aiseee kweli dunia Ina maajabu wengne tupo kwenye kelele nyng akina ana wanawaza kupika chapat usiku huuNajisikia tu kupika chapati nileView attachment 2008331
Macho yakiniambia ni tamu nitaomba recipe.Najisikia tu kupika chapati nileView attachment 2008331
Macho yakiniambia ni tamu nitaomba recipe.

Dunia ina mamboAiseee kweli dunia Ina maajabu wengne tupo kwenye kelele nyng akina ana wanawaza kupika chapat usiku huu
D nifanyaje nami niwe na dimples kama hivyo? NazipendaMe & min me. View attachment 2008253
Hii kitu naipenda ila hua inanisaliti kila nikijaribu kupika zinatoka kaukau😂Najisikia tu kupika chapati nileView attachment 2008331
Safi. Naweza kukutafuta weekend tupige vyombo?



wee sorry mie stumii kilevi mbna, ila ahsaante kwa mwaliko.Nlshasema juu ktk kumjibu my wii,Hebu sema mkuu,hata usijali



