Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Dah too bad huna braza mkubwa😂😂 tumezikuta tu
Dah too bad huna braza mkubwa😂😂 tumezikuta tu
I am not okay today.Mwee!
Kwanini isiwe leo chalii?
Oh okee.I am not okay today.
Nguvu za kiumeView attachment 2008269
Jioni mahesabu
Haha halafu wanavyotuvimbia humu utasema watu wazima. Usiombe ukute na id yake ni kongwe ndiyo kabisa utajua ni mbaba kumbe ni 'anda eitini' tu aliyejua internet mapema.Watoto wa 95 kuja juu wamejaa, wakiongozwa na dada yao pombe ya kike![]()
Mbona hamna kimini hapo?
Wewe ni yupi hapo?Me & min me. View attachment 2008253
Ndio lenyewe... Ila lako mbona kama refu? Au mimi sababu nina kitambi
Wa chiniWewe ni yupi hapo?
Ninao wa ukoo, wapo mpaka wenye mwanya 😂Dah too bad huna braza mkubwa
😂😂😂Wenye mwanya hapana nataka wenye dimpo..alafu hao wa ukoo siwatakiNinao wa ukoo, wapo mpaka wenye mwanya 😂
Kwa sababu nimesimama ,sijatembea.Mbona hamna kimini hapo?
Dimples,hongerenMe & min me. View attachment 2008253
Hapo sasa mzee ni umepumzika,kuacha bado haujafikiria.Sina mpango wa mwaka mkuu- tafadhali usiniombee mabaya.
Mimi nataka wiki 2 mpaka 3 tu ya mwili kurudi vizuri
Kimini hicho yaani linatia aibu.Ndio lenyewe... Ila lako mbona kama refu? Au mimi sababu nina kitambi
Dada una simu mpya dadaaa.
Kasi ya kujitupia na ui update![]()

Tusiokua na namba tukae mbali(joke)Kimini hicho yaani linatia aibu.
Nimebadilisha simu yaani nimepoteza namba zote
Ndugu zanguni mwenye namba yangu naomba Unitext ili nipate namba na kusave.
Maana ya kuacha Kwa muda ,si ndiyo kupumzika mkuu?Hapo sasa mzee ni umepumzika,kuacha bado haujafikiria.
Na hapo umejikaza ujue.
Ni rahusa pia kunitext mkuu.Tusiokua na namba tukae mbali(joke)

Kuacha hautatumia tena, na kupumzika ni kusitisha kwa mda halafu utaendeleq baadae.Maana ya kuacha Kwa muda ,si ndiyo kupumzika mkuu?