Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😹😹😹😹😹
Babu miga igweeeeeee

Aisee babu miga hataki longolongo ni mwendo wa kujisevia Morena kisha anakuja na pic za wahusika nginja nginja..!! 😹😹😹
Uduguu mbona umechachuka sanaa, kulikoniii.
😂😂😂
 
Uduguu shemeji yako Gwapole ananiponda eti najishaua kumbe mbaya..!! Sema hajakosea kapiga mule mule 😹😹😹
😂😂😂 wee muache na heka heka take, afu shem nahisi ananichota hivi yuko mambele kwelii?
Maana sielewi elewii.
 
And that's why niliamua kukaa kimya since then
Watu walinishauri niachane nayo nikaona sio case nikapotezea..
Ila naona still hizi mambo kila baada ya muda zinarudi may be zikitolewa maelezo itasaidia..

Na akili akili za watu wanadhani mi nilipotea humu

Sikupotea, nilikuwa nauguza mzazi mpk anafariki ndo maana sikuwa humu almost a yr ...
Narudi uzi umefungwa🤷‍♂️napewa story tu ...
Aisee I can't take it anymore

Ila akili za watu wanadhani nilipotea kisa huo upuuzi..

😀😀kumbe mi brand watu wanahangaika
Watu weuweeee!! Ma mchunga ni brand kubwa JF.
Wee huogopiii?
 
Sasa mbona wanaume wanakuomba picha sana kumbe we kidume looh! Id yako nyingine ndio ile unaomba elfu 50 ukafuge vifaranga 10?
Huyo ni trible mate wangu nilimuita tuje tuoneshe mavitambi yetu huku kwa kilugha 😁
 
Imefika mahali unaogopa kukutana na mtu kisa utaambiwa umelala nae
Yaani mtu mzima ila nashangaa

Mi humu nina mtu 1 tu ndo ananijua ndani nje
Ni mwanaume na nusu ...im proud of him, hana kelele
Yaani jmn anaekula hana kelele mwingine ss kupata time ya kuonana imekuwa nongwa
Si upuuzi na upumbavu hana mbele wala nyuma
Wog ukiamua kuyamwaga yamwage bana hizi unatoa kama preach hai sound kishengesha ujue..!! 😹😹😹
 
Sijui kwanini watu wanakua na flow za namna hii.

Asilimia 99% humu hatujuani haina haja ya baseless accusations.

Kwanini umchafue mtu ilihali humjui wala hata kuwahi kumuona ? Inafikirisha sana.
Watu wanajuana, wanafahamiana, watu wanakulana humu ndani, polee yako km uko very anonymous.

Ogopa matapelii bwasheee, ni wee ndo huna bahati, so kitulize.
😂😂😂
 
And that's why niliamua kukaa kimya since then
Watu walinishauri niachane nayo nikaona sio case nikapotezea..
Ila naona still hizi mambo kila baada ya muda zinarudi may be zikitolewa maelezo itasaidia..

Na akili akili za watu wanadhani mi nilipotea humu

Sikupotea, nilikuwa nauguza mzazi mpk anafariki ndo maana sikuwa humu almost a yr ...
Narudi uzi umefungwa🤷‍♂️napewa story tu ...
Aisee I can't take it anymore

Ila akili za watu wanadhani nilipotea kisa huo upuuzi..

😀😀kumbe mi brand watu wanahangaika
Brand kama brand 😹😹😹

Wog em funguka mi nna hamu ya kupata ubuyu kabla sijaingia kuuza vijora vyangu..!!
 
Imefika mahali unaogopa kukutana na mtu kisa utaambiwa umelala nae
Yaani mtu mzima ila nashangaa

Mi humu nina mtu 1 tu ndo ananijua ndani nje
Ni mwanaume na nusu ...im proud of him, hana kelele
Yaani jmn anaekula hana kelele mwingine ss kupata time ya kuonana imekuwa nongwa
Si upuuzi na upumbavu hana mbele wala nyuma
Mtajee huyo anaekula hana kelele, tumpe maua yakee, alooooh
😂😂😂
 
Back
Top Bottom