Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

And that's why niliamua kukaa kimya since then
Watu walinishauri niachane nayo nikaona sio case nikapotezea..
Ila naona still hizi mambo kila baada ya muda zinarudi may be zikitolewa maelezo itasaidia..

Na akili akili za watu wanadhani mi nilipotea humu

Sikupotea, nilikuwa nauguza mzazi mpk anafariki ndo maana sikuwa humu almost a yr ...
Narudi uzi umefungwa🤷‍♂️napewa story tu ...
Aisee I can't take it anymore

Ila akili za watu wanadhani nilipotea kisa huo upuuzi..

😀😀kumbe mi brand watu wanahangaika
Hakuna kitu kinaumiza kama kuona mtu unamchokoza weeeeee unamtafuta weee anakupotezea it hurts a lot.
Jifunze kupotezea wajinga wajinga uone wanavoteseka .
 
Umechanganya madesa nini mimi na waist natoa wapi mgongo umeunganikana na kiuno😂
Aweeeh! jana nimekaa hadi saa nane nikiona unavotubless wana mara mbili mbili nikajithibitishia kuwa ndio maana wadau kila kukicha uzi juu yako
 
Back
Top Bottom