Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 40,078
- 96,238
Spider kanyooka na suti yake..!Oooh haya sasa, kumekuchaa!!
Mahansamu wanatetemesha uzi leo.
🔥🔥
Nimeona ulipomquote
Spider kanyooka na suti yake..!Oooh haya sasa, kumekuchaa!!
Mahansamu wanatetemesha uzi leo.
🔥🔥
😍😍😍Ofisi Posta niitoe wapi mkuu? Qenye ofisi huko wamepiga shule, mie nilikimbia umande.View attachment 3673080
Mi mbovu mbona wala hujapigwa 😹😹😹Tangu nianze kuona pisi za humu sijaona mbovu au TUNAPIGWA 😄 ?
Mchukue udugu wangu akatulie majuu 😹Hadi nimecheka kwa sauti. Majuu wapi mkuu? Kawaida tu
View attachment 3672989
View attachment 3672990
View attachment 3672991
😹😹😹😹😹 Cheka manondo ndo wapi?Hahahaha, mtu yupo cheka manondo huko.
Then anadai yupo Amsterdam ila JF bhana 😂😂🙌🏾
😹😹😹😹 em nipe hilo bomu nikushikie litakulipukia coca..!!Thubutuuu, hunipatiii 😂😂😂
Kuna mwenzako anatamani kunilipua, afu bomu ninalo mie, yaan mlipuaji yeye, bomu ninalo mie, wee huogopiii?
😂😂😂
😹😹😹😹 Nimepitwa pitwa vipi kwa wog tena?Mama mtumishi kuna nini tenaa?
Mbona ghaflaa sanaa? Hayaa tuletee huo ubuyuu wambea tusaule saule.
Uzii unataka kuwaka tena, hakuna kupoaaa.
Alooooh, 😂😂😂
JF ni kichaka chenye wanyama wakali..!! 😹😹😹JF Ukiwa serious hasa selfika, kitakulambaa, wee nata na beat tembea mbele mwendo wa ngiri, usigeuke nyuma.
😂😂😂😂
😹😹😹😹 JF haiishiwi hekahekaTena badamu batamwagiks
Nimekaa kimya sn kuepusha mengi ila naona kuna mtu amajione ye ndo bingwa
Dozee dozeee wog em kunywa maji kwanza 😹😹😹Natamani kungekuwa na voice note
Ulale unono, kesho uje PMNalala sahivi maana nina hasira mno
We usiwaze
Badoo, tusubiri anakuja naloJF ni kichaka chenye wanyama wakali..!! 😹😹😹
Olu in olu kuna shengesha la mama mchungaji wog limenipita au bado nitulie nijionee..!!
😂😂😂Spider kanyooka na suti yake..!
Nimeona ulipomquote
Uduguu, unataka kukiwashaa mapema hivii?Mwenyewe sikutegemea 😥
Sema na mdomo wake lazima niushadadie ubuyu wake, alinichefua kweli kipindi kile..!! 😹😹😹😹
Watu wanaojifanya ma innocent humu ni wauzaji wakuu..!! 😹😹
😹😹😹😹Nitakuita
Halafu wanaume wanaokula humu ht hawana kelele ila ambao wamenyimwa ss
Kwanza wabaya
Hela hawana
Bado wanaongea km wanawake au kijana aliyebalehe
Nasaka fursaa uduguu, 😂😂😂Kumekuchaaaa 😹😹😹
Yaani 😂😂😂😹😹😹😹 Mzee Wa Paris
Hivi nimepitwaje uduguu? 😹😹😹Majiraniiiiiiiiiiiiiiiiii hukuuuuuuuuuuu!!
Haya ndio mambo nayoyapendaa,
Leteee vituuu ma mchungaaaa!!!
Watu weuweeeeeeeee, watu waleee waleeee.
😂😂😂😂
Tena alikua ni davoo wa trucks za kwenda nje ya nchi.Huyo wige nasikia alikuwa hb la kwenda na kuna pisi alizipiga humu mpaka nyingine anazikataa yeye..!! 😹😹😹
😹😹😹😹Usipate shida ingia AL inakusaidia kutype na kusamaraizi wee unatupia hapa tu
Alooooh 😂😂