Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 sijui wao wanao waamini wanaume wa JF tena wanao fly humu.

Wengi wao wapo kuwachora wanawake tu, wanawatumia then wanamwaga ubuyu na evidence kwa wambea.

Ila huyu member sikutegemea, ni kilaza kiasi hiki, anaonekana yuko intellectual and brilliant, kumbe daah.
Nachoka mie,
Mwenyewe sikutegemea 😥
Sema na mdomo wake lazima niushadadie ubuyu wake, alinichefua kweli kipindi kile..!! 😹😹😹😹

Watu wanaojifanya ma innocent humu ni wauzaji wakuu..!! 😹😹
 
Mipira yake ilikuwa Audi, Rangers na BMWs. Na uwanja wake wa vita ulikuwa Morena Hotel Msamvu Moro.
😹😹😹😹😹
Babu miga igweeeeeee

Aisee babu miga hataki longolongo ni mwendo wa kujisevia Morena kisha anakuja na pic za wahusika nginja nginja..!! 😹😹😹
 
Unamsemea Babu miga? Yule hela anazo, na migodi kweli ipo, afu sio mchoyo ni mtoaji, sema ana tabia mbaya sana ya udhalilishaji, hasa akikukuta limbukeni na kichwani empty.
😂😂😂😂
Babu miga hana kazi mbovu 😹😹😹
 
Kila siku asubuhi, ma boss walikua wengi humu, babu miga, Wige, mjep
Etc.
Ko kila time vocha zinamwagwa hapa.
😂😂😂😂 those days, daah.
Huyo wige nasikia alikuwa hb la kwenda na kuna pisi alizipiga humu mpaka nyingine anazikataa yeye..!! 😹😹😹
 
JF kila mtu ni elite pia ni successful people na handsome.

Pia kila mtu anamfikisha mwanamke kileleni na kila mtu ana visa.

JF hapa we acha tu mkuu LEGACY zipo za kutosha 😅.

Kuna jamaa mmoja Alisha wahi kuja kuomba ushauri kwamba ka-retire so anataka adondoshe mansion ya 1B ko anaomba ushauri wapi atapata kiwanja.

Nlicheka siku nzima ile thread na jamaa yuko serious nkasema yeah watu ni maDONE sana humu 😅.
😹😹😹😹
 
Mimi nlivojoin nkakuta watu wanabrag humu nikaamini mgonga ulimbo ni mimi peke yangu

Kuna siku mwana mmoja alianzisha uzi amekwama kodi nadhani nikamchek Pm nikamsort sasa kama kuappreciate akaanzisha uzi wa kushukuru

AKANIMENTION BUIBUI NYOKA Oyaa Pm ni wanaume na wanawake wanaomba hela ndipo nlifunga Pm hadi leo
😹😹😹😹
 
😍😍😍😍
Jamani wee uncle mbona una vitru vyangu..!!

Kama nakujua 😹
Hauna office posta kiongozi?

Ofisi Posta niitoe wapi mkuu? Qenye ofisi huko wamepiga shule, mie nilikimbia umande.
926304.jpg
 
Back
Top Bottom