Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni vuvuu tu! 😅

Walahi nimemiss shawarma za syria
926318.jpg


926316.jpg


926306.jpg
926309.jpg
 
Sijui kwanini watu wanakua na flow za namna hii.

Asilimia 99% humu hatujuani haina haja ya baseless accusations.

Kwanini umchafue mtu ilihali humjui wala hata kuwahi kumuona ? Inafikirisha sana.
Kumuona anaweza akawa amemuona ila kwa nia njema tu ila ukimpa mgongo ndio anashinda pm za watu kuwasimlia anakujua ameshakulomba na bla bla kibao.. naona hajakutana na vichaa hiyo! Atasimlia vzr kummk zake!!
 
Mume napeleka wapi humu kumejaa upuuzi mwingi huwezi hata kuwa na rafiki humu 🚮
Sasa chakufear nini mimi naona mnakosea kubreach anonymity ndo hapo mnaharibu be free soul sambaza upendo tembea huwez chafua kitu hakijulikani
 
Sijui kwanini watu wanakua na flow za namna hii.

Asilimia 99% humu hatujuani haina haja ya baseless accusations.

Kwanini umchafue mtu ilihali humjui wala hata kuwahi kumuona ? Inafikirisha sana.
Imefika mahali unaogopa kukutana na mtu kisa utaambiwa umelala nae
Yaani mtu mzima ila nashangaa

Mi humu nina mtu 1 tu ndo ananijua ndani nje
Ni mwanaume na nusu ...im proud of him, hana kelele
Yaani jmn anaekula hana kelele mwingine ss kupata time ya kuonana imekuwa nongwa
Si upuuzi na upumbavu hana mbele wala nyuma
 
Kumuona anaweza akawa amemuona ila kwa nia njema tu ila ukimpa mgongo ndio anashinda pm za watu kuwasimlia anakujua ameahakulomba na bla bla kibao.. naonq hajakutana na vichaa hiyo! Atasimlia vzr kummk zake!!
Kwamba humu kuna vijana walio kosa akili kiasi hicho.?

Hata kama uhusiano wa kimwili upo its not worth it kutangaza watu wameoa humu hvyo sio kitu cha ajabu mpaka utangaze.

Mambo ya ajabu sana yapo humu .
 
Kweli kabisa nakubaliana na wewe sema baadhi ya watu hawana uelewa huo ndiyo shida inapoanzia

Watu hatupo sawa, kufikiri, kutenda na namna tunavyotazama mambo. Lakini kujipenda ni pamoja na kuwa halisi, kinyume na hapo hujipendi wala hujithamini. Chagua kuwa halisi kwenye jambo lolote, kwa hali yeyote iwayo.
 
Kwamba humu kuna vijana walio kosa akili kiasi hicho.?

Hata kama uhusiano wa kimwili upo its not worth it kutangaza watu wameoa humu hvyo sio kitu cha ajabu mpaka utangaze.

Mambo yaajabu sana yapo humu .
Wanatangazanaga humu
Moja ya sababu ya kukaa guard zipo juu ni hio

Mwana anapewa papa siku wakitibuana anayamwaga
 
Imefika mahali unaogopa kukutana na mtu kisa utaambiwa umelala nae
Yaani mtu mzima ila nashangaa

Mi humu nina mtu 1 tu ndo ananijua ndani nje
Ni mwanaume na nusu ...im proud of him, hana kelele
Yaani jmn anaekula hana kelele mwingine ss kupata time ya kuonana imekuwa nongwa
Si upuuzi na upumbavu hana mbele wala nyuma
Ni mambo ya ajabu sana haya.
 
Kwamba humu kuna vijana walio kosa akili kiasi hicho.?

Hata kama uhusiano wa kimwili upo its not worth it kutangaza watu wameoa humu hvyo sio kitu cha ajabu mpaka utangaze.

Mambo yaajabu sana yapo humu .
Sijui anapata faida gani huyo mpuuzi! Nakwambia hajakutana na kichwa mbofu! Atatoa ushuhuda!!
 
Back
Top Bottom