Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,881
- 44,213
😀😀😀Nasubiri zamu yangu nikunyooshe mtu! Uzuri balaa langu analijua vzr sio hizi comments za kichwara humu! Ni vitendo tu atasimlia washenzi wenzie wote kama yule wa juzi!
😀😀😀Nasubiri zamu yangu nikunyooshe mtu! Uzuri balaa langu analijua vzr sio hizi comments za kichwara humu! Ni vitendo tu atasimlia washenzi wenzie wote kama yule wa juzi!
Haya mama wacha sie tusogeze masaa wengine walinzi ujue☺️cocastic
Steve Rogers
binti kiziwi
Seran
Chivundu
Christine_1
spidernyoka
Usiku mwema nipumzishe zangu fuvu
Sleep tight Gen z 😊cocastic
Steve Rogers
binti kiziwi
Seran
Chivundu
Christine_1
spidernyoka
Usiku mwema nipumzishe zangu fuvu
yule ni bipolar akiwa hajapiga vitu, atasema vingine.
Ila akiwa in motion ndo code ztatolewa 😅
Kumuona anaweza akawa amemuona ila kwa nia njema tu ila ukimpa mgongo ndio anashinda pm za watu kuwasimlia anakujua ameshakulomba na bla bla kibao.. naona hajakutana na vichaa hiyo! Atasimlia vzr kummk zake!!Sijui kwanini watu wanakua na flow za namna hii.
Asilimia 99% humu hatujuani haina haja ya baseless accusations.
Kwanini umchafue mtu ilihali humjui wala hata kuwahi kumuona ? Inafikirisha sana.
Sasa chakufear nini mimi naona mnakosea kubreach anonymity ndo hapo mnaharibu be free soul sambaza upendo tembea huwez chafua kitu hakijulikaniMume napeleka wapi humu kumejaa upuuzi mwingi huwezi hata kuwa na rafiki humu 🚮
Imefika mahali unaogopa kukutana na mtu kisa utaambiwa umelala naeSijui kwanini watu wanakua na flow za namna hii.
Asilimia 99% humu hatujuani haina haja ya baseless accusations.
Kwanini umchafue mtu ilihali humjui wala hata kuwahi kumuona ? Inafikirisha sana.
Imagine huyo mtu hamfanyii mtu mmoja hivi ni kundi la wadada wengi unaambiwa anakuja kwako kama malaika, imagine kwangu alikuja kama pastor🤣Sasa chakufear nini mimi naona mnakosea kubreach anonymity ndo hapo mnaharibu be free soul sambaza upendo tembea huwez chafua kitu hakijulikani
Ile takataka🚮Imefika mahali unaogopa kukutana na mtu kisa utaambiwa umelala nae
Yaani mtu mzima ila nashangaa
Mi humu nina mtu 1 tu ndo ananijua ndani nje
Ni mwanaume na nusu ...im proud of him
Sio huyo mpuuzi mpumbavu hana mbele wala nyuma
kuna vitabia men tupo navyo jau kama hio ya kusemaga umekula ulipokataliwa wanayo sana watuKumuona anaweza akawa amemuona ila kwa nia njema tu ila ukimpa mgongo ndio anashinda pm za watu kuwasimlia anakujua ameahakulomba na bla bla kibao.. naonq hajakutana na vichaa hiyo! Atasimlia vzr kummk zake!!
Kwamba humu kuna vijana walio kosa akili kiasi hicho.?Kumuona anaweza akawa amemuona ila kwa nia njema tu ila ukimpa mgongo ndio anashinda pm za watu kuwasimlia anakujua ameahakulomba na bla bla kibao.. naonq hajakutana na vichaa hiyo! Atasimlia vzr kummk zake!!
Aisee acha nitulie kwanza naona natetemekakuna vitabia men tupo navyo jau kama hio ya kusemaga umekula ulipokataliwa wanayo sana watu
Ndio utoke huko ulikotoka unakimbilia pm za watu unaanza kumuanika mtu na picha zake eti mlikuwa wote , thats high level of stupidity!kuna vitabia men tupo navyo jau kama hio ya kusemaga umekula ulipokataliwa wanayo sana watu
Kweli kabisa nakubaliana na wewe sema baadhi ya watu hawana uelewa huo ndiyo shida inapoanzia
Wanatangazanaga humuKwamba humu kuna vijana walio kosa akili kiasi hicho.?
Hata kama uhusiano wa kimwili upo its not worth it kutangaza watu wameoa humu hvyo sio kitu cha ajabu mpaka utangaze.
Mambo yaajabu sana yapo humu .
Ni mambo ya ajabu sana haya.Imefika mahali unaogopa kukutana na mtu kisa utaambiwa umelala nae
Yaani mtu mzima ila nashangaa
Mi humu nina mtu 1 tu ndo ananijua ndani nje
Ni mwanaume na nusu ...im proud of him, hana kelele
Yaani jmn anaekula hana kelele mwingine ss kupata time ya kuonana imekuwa nongwa
Si upuuzi na upumbavu hana mbele wala nyuma
Sijui anapata faida gani huyo mpuuzi! Nakwambia hajakutana na kichwa mbofu! Atatoa ushuhuda!!Kwamba humu kuna vijana walio kosa akili kiasi hicho.?
Hata kama uhusiano wa kimwili upo its not worth it kutangaza watu wameoa humu hvyo sio kitu cha ajabu mpaka utangaze.
Mambo yaajabu sana yapo humu .
Umekuja huku au umeenda kule🫢