Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 3,445
- 9,739
Nimekuona umewaka mno na hiyo Suti 🔥Umejionea mama hiyo 🙌🏾
Nimekuona umewaka mno na hiyo Suti 🔥Umejionea mama hiyo 🙌🏾
Nimekuona Lips nzuri, mwanamke mzuri 🥰😍Nimeirudia hujaona?
Ile list ya yule mywaji kumbe ilikuwa sahihi binti kiziwi ni mzuri asee 100/100Mkuu wapo wanaotupiga, lakini Seran , binti kiziwi , Chica Gee ni watu halisi. Wa kutupiga wanajulikana. 😊
😂😂😂 huyu Dadiii ni kweli huwa anaenda huko majuu, thou kwa sasa anaweza kuwa hapa nchini, ila ni kweli majuu huwa anafika sana tu.Kwani wewe hujagundua hilo ? 😄😄
😀😀 asante Mkuu una uhakika gani kama sipo kwenye kundi la wapigaji?Mkuu wapo wanaotupiga, lakini Seran , binti kiziwi , Chica Gee ni watu halisi. Wa kutupiga wanajulikana. 😊
Lakini tujiulize kidogo anao wasema kaka min me ndo kina nani hao ?Mkuu wapo wanaotupiga, lakini Seran , binti kiziwi , Chica Gee ni watu halisi. Wa kutupiga wanajulikana. 😊
Mama mtumishi kuna nini tenaa?🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Nitakuja na risiti kukomesha kuchafuliwa...stay tuned..ni hayo tu...
Nawapenda
Inabidi kesho upite tena ntaweka hapa hema yangu 😉.Nimekuona umewaka mno na hiyo Suti 🔥
Huyu namkumbuka huyuMama mtumishi kuna nini tenaa?
Mbona ghaflaa sanaa? Hayaa tuletee huo ubuyuu wambea tusaule saule.
Uzii unataka kuwaka tena, hakuna kupoaaa.
Alooooh, 😂😂😂
Babes naomba tuongee, tupange mpango kazi.🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Nitakuja na risiti kukomesha kuchafuliwa...stay tuned..ni hayo tu...
Nawapenda
Hutak twende majuu tenaThubutuuu, hunipatiii 😂😂😂
Kuna mwenzako anatamani kunilipua, afu bomu ninalo mie, yaan mlipuaji yeye, bomu ninalo mie, wee huogopiii?
😂😂😂
Asante sana ❤️😘Nimekuona Lips nzuri, mwanamke mzuri 🥰😍
Hongera GenZ mnakimbizaaaa
JF Ukiwa serious hasa selfika, kitakulambaa, wee nata na beat tembea mbele mwendo wa ngiri, usigeuke nyuma.Lakini tujiulize kidogo anao wasema kaka min me ndo kina nani hao ?
Nikiwaza hilo nachoka kabsa 😅😅🙌🏾.
Kwani kuna nini tena jamani? 🙆♀️Babes naomba tuongee, tupange mpango kazi.
Uliniokoa kwenye ile issue sitaki kukuacha pekeyako, kama uko tayari tuchat, nipo nasahihisha madaftari na kesho naingia job saa tatu so nina muda.
Nani?? Usije kuchanganya madesa. UwiiihHuyu namkumbuka huyu
Ile list ya yule mywaji kumbe ilikuwa sahihi binti kiziwi ni mzuri asee 100/100
Huyo namkumbuka si dada wa church moro moyaNani?? Usije kuchanganya madesa. Uwiiih