Yani ile live kabisa naomba ela nimekwama? Duhh🤣🤣Hahahaha, JF ni kama jamii tu inayo tuzunguka kila aina ya watu watakuwepo lakin naona rate ya omba omba imekuwa beyond limit.
Kama mtu ametoka mazima atajuaje kinachoendelea ukuKujua nini? Kwani wee huwezi kubadili jina? Au I'd yako?
Wee kuna huyo anazibebea hapa anenda kusema alikupiga yeye akhuu🤣🤣Jamanii mbona picha imefutwa fastaa sana, hebu rudia tena bhana.
Yaan nachungulia tu ni shwaa, duuh.
Ko hujaizoea selfika? 😂😂😂Wee kuna huyo anazibebea hapa anenda kusema alikupiga yeye akhuu🤣🤣
Yaan hajatoka JF. ila katoka uzi wa selfika.Kama mtu ametoka mazima atajuaje kinachoendelea uku
We kuna bwana mmoja humu mtu mbad sana🤣Ko hujaizoea selfika? 😂😂😂
A huyo anafanya hivyo? Ndio hao naowasema hapa wapo humu kuchora watu tu, aah.
Rudia tena bhana.
Humu JF kuna cases nyingi sana, usipo kua makini you can fall into a trap.Yani ile live kabisa naomba ela nimekwamba? Duhh🤣🤣
Dadiiii!! Una viwango vyote vxa kuwa sponsor.
Mh!! Kumbe comment yangu nilipatiaWe kuna bwana mmoja humu mtu mbad sana🤣
Hebu angalia chap kabla ajaenda huko kuniet tuko wote😂
Aisee mimi haijanisumbua sana, ila tangu huyo mpuuzi nmepata funzo kubwa yani sitaki mazoea! Mtu anaweza kuja kama pastor kumbe mshenzi tu🚮Humu JF kuna cases nyingi sana, usipo kua makini you can fall into a trap.
PM nahisi humu kua on si jambo la kuwa careless kabisa.
Kama ni mwanaharakati wa kisiasa humu zima kabsa PM mpaka last seen wasione its not safe.
Ujue humu kuna viumbe vingiWee kuna huyo anazibebea hapa anenda kusema alikupiga yeye akhuu🤣🤣
Kwamba??Mh!! Kumbe comment yangu nilipatia
Uko sahihi.Humu JF kuna cases nyingi sana, usipo kua makini you can fall into a trap.
PM nahisi humu kua on si jambo la kuwa careless kabisa.
Kama ni mwanaharakati wa kisiasa humu zima kabsa PM mpaka last seen wasione its not safe.
Watu mnaipa sana umuhimu hiiYaan hajatoka JF. ila katoka uzi wa selfika.
Kuna mtu anaweza kutoka mazima JF? thubutuu.
Baba mpaka wale wapinga kristo kumbe wengi wao ni waganga aisee🙌🏾Ujue humu kuna viumbe vingi
Aaah wapiii, hapanaa.Watu mnaipa sana umuhimu hii
Nilijua wameondoka mazima Jf