spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,350
- 22,343
Kabisa wapeane tuJamani sasa watu wasipeane utamu jamani hebu waacheni nao ni binadamu aisee😆
Kabisa wapeane tuJamani sasa watu wasipeane utamu jamani hebu waacheni nao ni binadamu aisee😆
Kwahiyo humu kuna mademu walikufa?Si yule jamaa alikuwa akijinasibu ana hela za kwenye madini sijui akaanza kugawa vocha? Na alileta kizaazaa aliposema eti ana mkosi maana kila demu anayemla huyo demu ni lazima afe? 😳😳
Ndo nini sasa😂😂Sitaki ukorofiii. Nishavuka huko.
😂😂😂😂
Ni mwendo wa kuhook up🤣👌🏽Watu wana knowledge ya scarcity kuona ni abundant 😄😄😄.
Kumbe huko PM sio JF tena ni TINDER DATING APP 😅
Mimi pisi kali najua nakutana nazo wapi sina tabu pm maelezo mengiMasista duhh mtawatoa wapi sasa bila kuzama pm🤣
Ni babu miga huyo, nisimjue mie? Akati ndio nilikua kuwadi wake hapa.Si yule jamaa alikuwa akijinasibu ana hela za kwenye madini sijui akaanza kugawa vocha? Na alileta kizaazaa aliposema eti ana mkosi maana kila demu anayemla huyo demu ni lazima afe? 😳😳
Unajuje haya yote🤣Mipira yake ilikuwa Audi, Rangers na BMWs. Na uwanja wake wa vita ulikuwa Morena Hotel Msamvu Moro.
Sitakiii nishavuka hukoo, 😂😂😂Ndo nini sasa😂😂
Unaenda kama Kelvin De bruyneNi babu miga huyo, nisimjue mie? Akati ndio nilikua kuwadi wake hapa.
😂😂😂😂
Daughter mtu anaweza kukuchekea hapa then ukaenda PM ukarudi huku na machela maana umesha kula za uso kibao.Masista duhh mtawatoa wapi sasa bila kuzama pm🤣
JauSitakiii nishavuka hukoo, 😂😂😂
Haa kumbe ndio zenu sio🤔Sasa wewe si unajua jukwaani hapa mbwembwe kidogo tu chupi unaopoa kibao
Kwa hiyo ulikula sana pesa zake? Hufai aisee 😂😂😂Ni babu miga huyo, nisimjue mie? Akati ndio nilikua kuwadi wake hapa.
😂😂😂😂
Binti gani tena kulkua na vibinti sivioni ndo kimojawapo ?Alimdhalilisha sana yule binti masikini mpaka aliondoka JF mazima. Sema tu masikini huwa hawajifunzi!
Wao sasa mimi napita kusambaza upendo tu Pm nmefungaHaa kumbe ndio zenu sio🤔
Halafu sisi tuje kusimliana sio😁Kabisa wapeane tu
Umbea mpaka umesahau kwenda kwenye migebuka🤣Ndo nini sasa😂😂
nawaza hapa ID Yako ya mwanzo ni ipiHakafu sisi tuje kusimliana sio😁
Walio dhalilishwa ni wengi humu, wapo walio kimbia I'd zao, wengine wakabadili majina kwa muda then wakarudisha,Alimdhalilisha sana yule binti masikini mpaka aliondoka JF mazima. Sema tu masikini huwa hawajifunzi!
Alikuwa na majigambo hana siri. Alikuwa anaweka picha hapa hapaUnajuje haya yote🤣