Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

And that's why niliamua kukaa kimya since then
Watu walinishauri niachane nayo nikaona sio case nikapotezea..
Ila naona still hizi mambo kila baada ya muda zinarudi may be zikitolewa maelezo itasaidia..

Na akili akili za watu wanadhani mi nilipotea humu

Sikupotea, nilikuwa nauguza mzazi mpk anafariki ndo maana sikuwa humu almost a yr ...
Narudi uzi umefungwašŸ¤·ā€ā™‚ļønapewa story tu ...
Aisee I can't take it anymore

Ila akili za watu wanadhani nilipotea kisa huo upuuzi..

šŸ˜€šŸ˜€kumbe mi brand watu wanahangaika
Brand
 
Mjanja janja sana sasa hivi Lamomy wakati zamani alikua anaingia live bila chenga.

Ana live yake mmoja katoa ishara ya dole la kati; sasa hivi sijui anafeli wapi kuingia live mnywani.
Amekua mwoga sana sikuhizi sijui kwanini!!
Mwambie Nimemiss kuona dimpoz na location zaukwee!
 
Back
Top Bottom