Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,519
- 93,351
Usiache kutuma picha za ziwani😁Mbwembwe naziwezea wapi weekend nipo ziwani
Usiache kutuma picha za ziwani😁Mbwembwe naziwezea wapi weekend nipo ziwani
JF kila mtu ni elite pia ni successful people na handsome.Pembeni kuna mjomba anasema sjui yupo nchi gan kumbe kigambon
Those days
Yes kama haina umuhimu fungaNakumbuka nilipokuwa mgeni nilipokea pm nyingi tu, kuna mshenzi akaniijia kwa mazoea nikajua mtu nimechat nalo pm kumbe la ajabu kweli! Tangu hiyo siku nikajua humu psychos hawatokosekana zaidi nikasema nifunge tu!
Pisi kali zimebadili I'd na wengine majina, ila almost wengi wapo humu, walio left mazima ni wachache, ila kukiwa na shengesha wana join kushuhudia mpwimbwi.Ile ilkua ya moto zile pisi kali sizioni jukwaan
Okay tufanye ifungwe tu!Kwanini niifungue?
Aisee unakaba mpaka penaltShusha picha
Mimi nlivojoin nkakuta watu wanabrag humu nikaamini mgonga ulimbo ni mimi peke yanguJF kila mtu ni elite pia ni successful people na handsome.
Pia kila mtu anamfikisha mwanamke kileleni na kila mtu ana visa.
JF hapa we acha tu mkuu LEGACY zipo za kutosha 😅.
Kuna jamaa mmoja Alisha wahi kuja kuomba ushauli kwamba ka-retire so anataka adondoshe mansion ya 1B ko anaomba ushauri wapi atapata kiwanja.
Nlicheka siku nzima ile thread na jamaa yuko serious nkasema yeah watu ni maDONE sana humu 😅.
Wanajuaje sasa au ndo whatsapPisi kali zimebadili I'd na wengine majina, ila almost wengi wapo humu, walio left mazima ni wachache, ila kukiwa na shengesha wana join kushuhudia mpwimbwi.
😂😂😂
Mali safi sana brown skin girlAisee unakaba mpaka penalt
Sekunde 3 baba nafuta!
Kuna mmoja huyo ukionana naye anatangaza mlilala wote! Amesababisha watu wanashindwa kutumia jf kwa amani🤣Yes kama haina umuhimu funga
Unaongea yanaishia kwenye uzi
Worth waitingAisee unakaba mpaka penalt
Sekunde 3 baba nafuta!
clean ❤🙌🏾Aisee unakaba mpaka penalt
Sekunde 3 baba nafuta!
Mmmh wee ni muongo sana. 😂😂😂Mimi nlivojoin nkakuta watu wanabrag humu nikaamini mgonga ulimbo ni mimi peke yangu
Kuna siku mwana mmoja alianzisha uzi amekwama kodi nadhani nikamchek Pm nikamsort sasa kama kuappreciate akaanzisha uzi wa kushukuru
AKANIMENTION BUIBUI NYOKA Oyaa Pm ni wanaume na wanawake wanaomba hela ndipo nlifunga Pm hadi leo
Oyyaa kuchekeshana hivi usiku sio poa! Wengine tunaheshimika tumeokoka hatuna makandokando🤣🤣🤣Mimi nlivojoin nkakuta watu wanabrag humu nikaamini mgonga ulimbo ni mimi peke yangu
Kuna siku mwana mmoja alianzisha uzi amekwama kodi nadhani nikamchek Pm nikamsort sasa kama kuappreciate akaanzisha uzi wa kushukuru
AKANIMENTION BUIBUI NYOKA Oyaa Pm ni wanaume na wanawake wanaomba hela ndipo nlifunga Pm hadi leo
Hahahaha, JF ni kama jamii tu inayo tuzunguka kila aina ya watu watakuwepo lakin naona rate ya omba omba imekuwa beyond limit.Mimi nlivojoin nkakuta watu wanabrag humu nikaamini mgonga ulimbo ni mimi peke yangu
Kuna siku mwana mmoja alianzisha uzi amekwama kodi nadhani nikamchek Pm nikamsort sasa kama kuappreciate akaanzisha uzi wa kushukuru
AKANIMENTION BUIBUI NYOKA Oyaa Pm ni wanaume na wanawake wanaomba hela ndipo nlifunga Pm hadi leo
Umeanza!Mali safi sana brown skin girl
Kujua nini? Kwani wee huwezi kubadili jina? Au I'd yako?Wanajuaje sasa au ndo whatsap
Appreciations 🙂Worth waiting
Thank uuu 🥰clean ❤🙌🏾
SawaMmmh wee ni muongo sana. 😂😂😂
Unataka uanze kutuchota sasa, aloooh.