Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pembeni kuna mjomba anasema sjui yupo nchi gan kumbe kigambon
Those days
JF kila mtu ni elite pia ni successful people na handsome.

Pia kila mtu anamfikisha mwanamke kileleni na kila mtu ana visa.

JF hapa we acha tu mkuu LEGACY zipo za kutosha 😅.

Kuna jamaa mmoja Alisha wahi kuja kuomba ushauri kwamba ka-retire so anataka adondoshe mansion ya 1B ko anaomba ushauri wapi atapata kiwanja.

Nlicheka siku nzima ile thread na jamaa yuko serious nkasema yeah watu ni maDONE sana humu 😅.
 
Nakumbuka nilipokuwa mgeni nilipokea pm nyingi tu, kuna mshenzi akaniijia kwa mazoea nikajua mtu nimechat nalo pm kumbe la ajabu kweli! Tangu hiyo siku nikajua humu psychos hawatokosekana zaidi nikasema nifunge tu!
Yes kama haina umuhimu funga
Unaongea yanaishia kwenye uzi
 
JF kila mtu ni elite pia ni successful people na handsome.

Pia kila mtu anamfikisha mwanamke kileleni na kila mtu ana visa.

JF hapa we acha tu mkuu LEGACY zipo za kutosha 😅.

Kuna jamaa mmoja Alisha wahi kuja kuomba ushauli kwamba ka-retire so anataka adondoshe mansion ya 1B ko anaomba ushauri wapi atapata kiwanja.

Nlicheka siku nzima ile thread na jamaa yuko serious nkasema yeah watu ni maDONE sana humu 😅.
Mimi nlivojoin nkakuta watu wanabrag humu nikaamini mgonga ulimbo ni mimi peke yangu

Kuna siku mwana mmoja alianzisha uzi amekwama kodi nadhani nikamchek Pm nikamsort sasa kama kuappreciate akaanzisha uzi wa kushukuru

AKANIMENTION BUIBUI NYOKA Oyaa Pm ni wanaume na wanawake wanaomba hela ndipo nlifunga Pm hadi leo
 
Mimi nlivojoin nkakuta watu wanabrag humu nikaamini mgonga ulimbo ni mimi peke yangu

Kuna siku mwana mmoja alianzisha uzi amekwama kodi nadhani nikamchek Pm nikamsort sasa kama kuappreciate akaanzisha uzi wa kushukuru

AKANIMENTION BUIBUI NYOKA Oyaa Pm ni wanaume na wanawake wanaomba hela ndipo nlifunga Pm hadi leo
Mmmh wee ni muongo sana. 😂😂😂
Unataka uanze kutuchota sasa, aloooh.
 
Mimi nlivojoin nkakuta watu wanabrag humu nikaamini mgonga ulimbo ni mimi peke yangu

Kuna siku mwana mmoja alianzisha uzi amekwama kodi nadhani nikamchek Pm nikamsort sasa kama kuappreciate akaanzisha uzi wa kushukuru

AKANIMENTION BUIBUI NYOKA Oyaa Pm ni wanaume na wanawake wanaomba hela ndipo nlifunga Pm hadi leo
Oyyaa kuchekeshana hivi usiku sio poa! Wengine tunaheshimika tumeokoka hatuna makandokando🤣🤣🤣
 
Mimi nlivojoin nkakuta watu wanabrag humu nikaamini mgonga ulimbo ni mimi peke yangu

Kuna siku mwana mmoja alianzisha uzi amekwama kodi nadhani nikamchek Pm nikamsort sasa kama kuappreciate akaanzisha uzi wa kushukuru

AKANIMENTION BUIBUI NYOKA Oyaa Pm ni wanaume na wanawake wanaomba hela ndipo nlifunga Pm hadi leo
Hahahaha, JF ni kama jamii tu inayo tuzunguka kila aina ya watu watakuwepo lakin naona rate ya omba omba imekuwa beyond limit.
 
Back
Top Bottom