Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanachapana sana misipa humu ila ni kwa wale ambao wanawasiliana nje na hapa kuanzia PM uko
Watu wana knowledge ya scarcity kuona ni abundant 😄😄😄.
😂😂😂 kwamba?? Ni wee ndio huna bahati, wenzio wanaoneshwa zivu zivu, laivuuu.
Kumbe huko PM sio JF tena ni TINDER DATING APP 😅
 
Mambo yote waziii kama ya mbuzi
😂😂😂 sijui wao wanao waamini wanaume wa JF tena wanao fly humu.

Wengi wao wapo kuwachora wanawake tu, wanawatumia then wanamwaga ubuyu na evidence kwa wambea.

Ila huyu member sikutegemea, ni kilaza kiasi hiki, anaonekana yuko intellectual and brilliant, kumbe daah.
Nachoka mie,
 
😂😂😂 sijui wao wanao waamini wanaume wa JF tena wanao fly humu.

Wengi wao wapo kuwachora wanawake tu, wanawatumia then wanamwaga ubuyu na evidence kwa wambea.

Ila huyu member sikutegemea, ni kilaza kiasi hiki, anaonekana yuko intellectual and brilliant, kumbe daah.
Nachoka mie,
Mwaga kuku kwenye mchele mwingi basi tupate kupona !
 
Back
Top Bottom